kama raia wanaruhusiwa kwa nn Rais asiruhusiwe? unashangaa nn sasaHata mimi nimeshangaa kwelikweli kusikia eti rais anamiliki bunduki na bastola. Vya nini vyote hivyo?
Kama alivimiliki kipindi akiwa waziri, je, kuchaguliwa kwake kuwa rais kunamruhusu kuendelea kumiliki silaha za moto?
Raia wanajilinda tofauti na Rais ambae analindwa wakati wote.kama raia wanaruhusiwa kwa nn Rais asiruhusiwe? unashangaa nn sasa
Mimi naona ni wapambe tuIna maana Rais anajilinda mwenyewe, sasa hao wanaomzunguka mbele, nyumba na pembeni pande zote wanafanya nini
Nani kakuambia ukilindwa husijilinde...ulinzi binafsi ni mzuri zaidi ya kulindwa..walinzi wakikugeuka utafanyaje...Raia wanajilinda tofauti na Rais ambae analindwa wakati wote.
ilikuwa uhakiki wa silahaIna maana Rais anajilinda mwenyewe, sasa hao wanaomzunguka mbele, nyumba na pembeni pande zote wanafanya nini
Inafikirisha.Picha nzuri ila inaogopesha.Sijawahi kuona Rais mwingine zaidi ya Sadam Hussein akiweka silaha ya moto kiunoni.
🤣
Ina maana Rais anajilinda mwenyewe, sasa hao wanaomzunguka mbele, nyumba na pembeni pande zote wanafanya nini
Fidel Castrol naye alikuwa hivyoinaogopesha.Sijawahi kuona Rais mwingine zaidi ya Sadam Hussein akiweka silaha ya moto kiunoni.
Duuuuh, kumbe jamaa nae anako kamguu ka kuku!!!!? Sasa huwa anakatumia wapi?
Picha nzuri ila inaogopesha.Sijawahi kuona Rais mwingine zaidi ya Sadam Hussein akiweka silaha ya moto kiunoni.
3rd party information......Tunakoelekea muda si mrefu tutaoneshwa hiyo video ya kushuti inayozungumziwa na kibendera
Kuna marais nakumbuka watatu waliuwawa na walinzi waoIna maana Rais anajilinda mwenyewe, sasa hao wanaomzunguka mbele, nyumba na pembeni pande zote wanafanya nini
Wakizidiwa je ?Ina maana Rais anajilinda mwenyewe, sasa hao wanaomzunguka mbele, nyumba na pembeni pande zote wanafanya nini