Picha ya Leoooo!

Picha ya Leoooo!

Huyo mzee kwenye kupigilia pamba huwa hakosei
dba65bddb824753f036c88a70c5c6ce7.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani hii picha kila nikiiangalia nacheka tu. Hivi huyu msukuma huwa anajiangalia kwenye kioo kweli!!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu baba sijui wanamfanyiaga makusudi!!! Maana sio kwa hizi over size.
Teh kuna makusudi basi..

Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa
 
Teh kuna makusudi basi..

Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa
Hahahaaaa!! Kwahiyo kumbe tatizo ni mwili!! Sitaki uchochezi my kaka.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Suti ya namna hii huwezi kuikuta kwenye maduka ya chator. Na ukiikuta bahati mbaya lazima iwe oversize.
Kwa hiyo atakuwa Rais kwa sababu ana suti nzuri!!!

[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Kes
Teh kuna makusudi basi..

Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa
Uchochezi kesho jisalimishe police
 
Kes
Teh kuna makusudi basi..

Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa
Uchochezi kesho jisalimishe police
 
Back
Top Bottom