Picha ya Leoooo!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu baba sijui wanamfanyiaga makusudi!!! Maana sio kwa hizi over size.
Teh kuna makusudi basi..

Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa
 
Teh kuna makusudi basi..

Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa
Hahahaaaa!! Kwahiyo kumbe tatizo ni mwili!! Sitaki uchochezi my kaka.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Suti ya namna hii huwezi kuikuta kwenye maduka ya chator. Na ukiikuta bahati mbaya lazima iwe oversize.
Kwa hiyo atakuwa Rais kwa sababu ana suti nzuri!!!

[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Kes
Teh kuna makusudi basi..

Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa
Uchochezi kesho jisalimishe police
 
Kes
Teh kuna makusudi basi..

Kuna miili hata mafundi wa Dunia wakutane haiwezi kupendeza na nguo. Ila miili mingine hata ikivalishwa kitu cha ajabu unaelewa
Uchochezi kesho jisalimishe police
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…