MeruA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,390
- 2,148
Wakuu habarini za uzima,kuna mwamba mmoja kanitumia picha ya mawe fulani yanayosadika kuwa ni madini kutoka huko kanda ya ziwa,je ni madini gani na soko lake lipo wapi??kwa yeyote anayeyafahamu msaada wenu ndugu zangu[emoji1317].
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app