Picha ya Mbowe walipokutana na JK: Je unajifunza nini kwenye picha hii?

Picha ya Mbowe walipokutana na JK: Je unajifunza nini kwenye picha hii?

Keykey

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2006
Posts
3,251
Reaction score
747
mbowe-jk.jpg


Wanasiasa siku zote hawatabiriki!
 

Attachments

  • GO9G1385.JPG
    GO9G1385.JPG
    126.3 KB · Views: 197
nani alikwambia siasa ni kutosalimiana na mpinzani wako?..........

think beyond the next meal man!!
 
This is to all bored middled-aged losers who think politics is a way of life like THAT..lol its just a game.
 
Kwa tafsiri ya lugha ya picha:

JK: Mbowe naona umeamua kunikubali kuwa mie ndio JK mkuu wa mafisadi na kiongozi wa wachakachuaji kwani japo mlijipanga na mkashinda ila mie bado ni raisi wenu, Utu uzima dawa.

Mbowe: No hizi jezi nimekuja nazo kukiufikishia ujumbe kuwa wameanza tunisia,imefuata misri then walipe dowans ufuate wewe? Kama kweli mtu mzima hatishiwi nyau.
 
wakuu,
Nilitegemea mutamkemea Mbowe kwa nini anacheka cheka na Kikwete kwa vile polisi iliuwa Arusha.
Nilitegemea mutakuwa wakali kumuona kamanda anacheka na mchakachuaji wa kura.
Sasa naelewa maneno ya Kikwete aliyosema Mbowe na Wabunge wa CHADEMA walipotoka nje wakati Kikwete alipoanza kuhutubia bunge... alisema "Watarudi"

Na sisi soma comments tunazotoa tunafanya comedy..... JF bana!!!
 
Kupingana si kugombana, mkikuwa mtayaona. Mwataka wasisalimiane?
 
Hakuna cha kujifunza kwa yeyote ambaye anafahamu siasa. These are leaders of their respective parties. In any democracy their hand-shaking should not raise any issues, as meeting is part of their responsibilities to those who elected them.
 
Seacliff,

Mbona unajicontradict..kama unasema hakuna cha kujifuna na baadae unaendelea kwa kusema "yeyote ambaye anafahamu siasa".Then kuna kitu cha kujifunza.Jifunze jinsi ya kujielezea wewe.
 
Kama sikosei hii ilikuwa ni mwaka 2005 baada ya uchaguzi uliomtangaza jk kuwa mshindi wa nafasi ya urais. Kwa ujumla, Chadema waliridhika na kuridhia matokeo na hapo kwenye picha inaonekana Kamanda Freeman Mbowe
akimpongeza jk bila kinyongo. Sasa kutokana na picha na maelezo haya, tunaweza kujifunza kwamba uchaguzi wa 2005 ulikuwa huru na wa haki na chadema waliridhika nao. Sasa basi, kama chadema ni chama kilekile na Mbowe, Dr. Slaa (PhD) na viongozi wengine ni walewale, kwa nini leo hii wasishikane mikono na jk? Ukweli ni kwamba uchaguzi wa mwaka huu haukuwa wa huru na wa haki.

Pia, picha hii inaonyesha umakini wa chadema katika kuendesha siasa za nchi hii na ni chama chenye msimamo thabiti wa kusimamia maamuzi yake. Hakina substandards katika kufanya mambo yake. Hongera viongozi wa chadema, wananchi tuna imani nanyi.
 
Quadrat Jr,

Nataka ujifunze ya kuwa Viongozi wa siasa wanapokuwa wanaongea na wafuasi au wanachama wao kuna kipindi huwa wanaonyesha wana hasira sana na wapinzani wao..ila wanapokutana mara nyingine picha inakuwa tofauti kabisaaa kama unayoona mwenewe kwenye picha hio.
 
Mods nao naona wanaleta mambo ya censorship.. This is an issue of political significance albeit minor. THread imeletwa huku ili watu wasionie.. NDIO JF-CHADEMA hii... tukiwapa nchi mta tufanyia censorship. This is why I hate F@kn radicals... They all end up like Mubarak.
 
Amna cha kujifunza awa jamaa ni washikaji wa siku nyingi wanajuana, wemecheza pamoja madisco ya zamani ya Dar es salaam RUNGWE na MBOWE
 
Back
Top Bottom