Wakisema watu walioenda shule wasimame na wewe utasimama?Umesahau kumtukana lisu, lema, mnyika, msigwa, heche, mbowe na wana chadema wote hivyo habari yako haijakamilika. Andika tena na uwatukane hawa watu.
Asante
Mwambie anapogegeda/kutandaza hiyo miti,asisahau baada ya kufa Kuna maisha ambayo anatakiwa achague ss ataenda wapi...Daah mkulungwa
Daah Taya...🤣🤣Mwambie anapogegeda/kutandaza hiyo miti,asisahau baada ya kufa Kuna maisha ambayo anatakiwa achague ss ataenda wapi...
Pole sana mkuuWakati wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM mwaka 2015 marehemu Magufuli na Membe walipiga picha ambayo baada ya kuiangalia leo imenitoa machozi na kunikumbusha maisha ya mwanadamu si chochote kabisa.
Leo ndiyo mazishi ya Bernard Membe kule kijijini kwake Rondo.
View attachment 2623924
Nimependa hekima yakoWakisema watu walioenda shule wasimame na wewe utasimama?
lisu Lisu,lema_Lema, mnyika_Mnyika, msigwa_Msigwa,heche Heche,mbowe_ Mbowe, chadema_CHADEMA.
Ni vitu vidogo lakini vikubwa na vina maana sana kwenye uandishi.
Wakati wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM mwaka 2015 marehemu Magufuli na Membe walipiga picha ambayo baada ya kuiangalia leo imenitoa machozi na kunikumbusha maisha ya mwanadamu si chochote kabisa.
Leo ndiyo mazishi ya Bernard Membe kule kijijini kwake Rondo.
View attachment 2623924
Kweli kabisaKach
Kachero mbobezi
Kulwa jilalal . Hii ni I'd namba ngapi???Wakati wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM mwaka 2015 marehemu Magufuli na Membe walipiga picha ambayo baada ya kuiangalia leo imenitoa machozi na kunikumbusha maisha ya mwanadamu si chochote kabisa.
Leo ndiyo mazishi ya Bernard Membe kule kijijini kwake Rondo.
View attachment 2623924
Acha kushoboka hovyo na watu, jibu hojaKulwa jilalal . Hii ni I'd namba ngapi???
Alimootezea kwa sababu hakumuunga mkono kwenye kampeniMembe alijua Magufuli akiwa Rais atamnyooshea mapito yake, kuupata ule uongozi wa Jumuia ya Madola, bahati mbaya Magufuli akampotezea na hapo ndipo hasira za Membe zikalipuka.
Hao wote hawapo duniani , mmoja alishangilia sana kifo cha mwenzakeSasa kama mambo ya kijinga haya yanakutoa machozi, wewe unahisi uko sawa kweli?.
Picha ikutoe machoz, gun si itakutoa haja haja!!
Wakati wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM mwaka 2015 marehemu Magufuli na Membe walipiga picha ambayo baada ya kuiangalia leo imenitoa machozi na kunikumbusha maisha ya mwanadamu si chochote kabisa.
Leo ndiyo mazishi ya Bernard Membe kule kijijini kwake Rondo.
View attachment 2623924
Picha ya pili hii ina mtoa taarifa kwenye genge la mafisadi na wapanga njama za mauji. Hapo anahakikishiwa kwamba wewe kimbia nchi lakini sisi tutamfanyizia huyo Jabali!!!