BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Wakisema watu walioenda shule wasimame na wewe utasimama?Umesahau kumtukana lisu, lema, mnyika, msigwa, heche, mbowe na wana chadema wote hivyo habari yako haijakamilika. Andika tena na uwatukane hawa watu.
Asante
lisu Lisu,lema_Lema, mnyika_Mnyika, msigwa_Msigwa,heche Heche,mbowe_ Mbowe, chadema_CHADEMA.
Ni vitu vidogo lakini vikubwa na vina maana sana kwenye uandishi.