Picha ya Membe na Magufuli imenitoa machozi

Picha ya Membe na Magufuli imenitoa machozi

Umesahau kumtukana lisu, lema, mnyika, msigwa, heche, mbowe na wana chadema wote hivyo habari yako haijakamilika. Andika tena na uwatukane hawa watu.
Asante
Wakisema watu walioenda shule wasimame na wewe utasimama?
lisu Lisu,lema_Lema, mnyika_Mnyika, msigwa_Msigwa,heche Heche,mbowe_ Mbowe, chadema_CHADEMA.
Ni vitu vidogo lakini vikubwa na vina maana sana kwenye uandishi.
 
Membe alijua Magufuli akiwa Rais atamnyooshea mapito yake, kuupata ule uongozi wa Jumuia ya Madola, bahati mbaya Magufuli akampotezea na hapo ndipo hasira za Membe zikalipuka.
Alimootezea kwa sababu hakumuunga mkono kwenye kampeni
 
Wakati wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM mwaka 2015 marehemu Magufuli na Membe walipiga picha ambayo baada ya kuiangalia leo imenitoa machozi na kunikumbusha maisha ya mwanadamu si chochote kabisa.

Leo ndiyo mazishi ya Bernard Membe kule kijijini kwake Rondo.

View attachment 2623924

Picha ya pili hii ina mtoa taarifa kwenye genge la mafisadi na wapanga njama za mauji. Hapo anahakikishiwa kwamba wewe kimbia nchi lakini sisi tutamfanyizia huyo Jabali!!!
 
Back
Top Bottom