Pole, ile na huyo baba kama mmesoma hapo juu, mambo yake anayoyafanya ni mabayaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaa, siko hapa kuhukumu, ila kama ni kweli basi tit for tat, malipo hapa hapa duniani...anaingiza nchini madawa ya kulevya, fikiria ni vijana wangapi Tanzania wanaharibika kwa kutumia haya madawa ya kulevya. Pia angalieni jinsi anavyowanyia umafya wapinzani wake, huyu baba ni hatari sana, akitoka hospital lazima apelekwe jela akajibu mashitaka yoteee hayo, hawa ndio wanaotuharibia nchi yetu bwana. Waziri mkuu Pinda alisema mwaka huu kwamba wauza madawa sasa wameingia mpaka kwenye hizi shule za akina Kayumba wanawauzia watoto wadogo madawa ya kulevya, wanachanganya kwenye ice cream, pipi, mihogo, karanga, baaada ya muda taifa la watu wa hali ya chini woteeeeee watakuwa mateja, imagine, hawa wauza madawa ya kulevya wana roho mbayaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaa, tena hawa waarabu tupa kuleeeeeee kabisaa...