KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Wapo kwenye project ya video shooting ya wimbo mpya. Hakuna tatizo hapo
Mie huwa najiuliza hivi huwa wanashauriana wapigane picha au video then wazisambaze ama???Maana duh???
[h=3][/h]
[h=3][/h]
poa tu kwani angekua kim sijui kadashian au nikki minaj mngeponda???? Tuwaache tu wafanye yao na kila mtu aishi maisha yake as long as avunji sheria.