Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hapa ni kata ya Kome Kisiwani , Kwenye Mkutano wa Hadhara ulioongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , baada viwanja kujaa watu
Hata ningekuwa mimi kwa hali ya Uwanja kama hivi ningepanda kwenye Mkuyu tu
Usiondoke JF , mambo ni mengi mno !
Hata ningekuwa mimi kwa hali ya Uwanja kama hivi ningepanda kwenye Mkuyu tu
Usiondoke JF , mambo ni mengi mno !