Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Karibu sana .Sawa
Mizizi ya Mkuyu ni Dawa inaitwa Mkuyati 😂😂Karibu sana .
Wengine nasikia wanakusanywa na mabasi na mafuso kwenda kwenyeSawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]
Shujaa Magufuli aliona Heri Nusu Shari!Wengine nasikia wanakusanywa na mabasi na mafuso kwenda kwenye
Mikutano
Cc---kawe
Ova
Nipo hapa Nyakanazi nasubiria Tundu Lisu aje twende naye ChatoHapa ni kata ya Kome Kisiwani , Kwenye Mkutano wa Hadhara ulioongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , baada viwanja kujaa watu
View attachment 2706398
Hata ningekuwa mimi kwa hali ya Uwanja kama hivi ningepanda kwenye Mkuyu tu
View attachment 2706399View attachment 2706400
View attachment 2706402View attachment 2706403View attachment 2706404
Usiondoke JF , mambo ni mengi mno !
HayaMizizi ya Mkuyu ni Dawa inaitwa Mkuyati [emoji23][emoji23]
Mbona yuko chato tayariNipo hapa Nyakanazi nasubiria Tundu Lisu aje twende naye Chato
Basi kanipita,acha nimuwahi,asije akapopolewa na vijana wa johnthebaptistMbona yuko chato tayari
Watu ni nyomii
Msimike Mwinule!Haya
Shikilieni hapo hapo na zaidi.Hapa ni kata ya Kome Kisiwani , Kwenye Mkutano wa Hadhara ulioongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , baada viwanja kujaa watu
View attachment 2706398
Hata ningekuwa mimi kwa hali ya Uwanja kama hivi ningepanda kwenye Mkuyu tu
View attachment 2706399View attachment 2706400
View attachment 2706402View attachment 2706403View attachment 2706404
Usiondoke JF , mambo ni mengi mno !
Bibi yangu walimtoa kibaha mailimoja hadi Kawe wakamtelekeza ikabidi tumtumie dereva maana pilika za daladala kwa umri wake haziwezi!! Imagine watu walitoka kibaha!Wengine nasikia wanakusanywa na mabasi na mafuso kwenda kwenye
Mikutano
Cc---kawe
Ova
CCM imechokwa sana,inategemea nguvu ya pesa na dola .Bibi yangu walimtoa kibaha mailimoja hadi Kawe wakamtelekeza ikabidi tumtumie dereva maana pilika za daladala kwa umri wake haziwezi!! Imagine watu walitoka kibaha!
Sasa wasema. Nitasema kweli daima Fitina kwangu mwiko.(maandishi haya utayakuta ndani ya vitabu vya wana Lumumba. )Shujaa Magufuli aliona Heri Nusu Shari!
Wanaohesabu kura ndio wanaamua mshindi
Nimeangalia kupitia online TVs mkutano wa Tundu Lissu (Chato) Geita na ule wa Freeman Mbowe (Nyehunge) Jimbo la Buchosa, Sengerema, kwa kweli ni balaa kwelikweli kwa jinsi watu wanavyojitokeza Kwa maelfu kwenye mikutano hii ya CHADEMA..Hapa ni kata ya Kome Kisiwani , Kwenye Mkutano wa Hadhara ulioongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , baada viwanja kujaa watu
View attachment 2706398
Hata ningekuwa mimi kwa hali ya Uwanja kama hivi ningepanda kwenye Mkuyu tu
View attachment 2706399View attachment 2706400
View attachment 2706402View attachment 2706403View attachment 2706404
Usiondoke JF , mambo ni mengi mno !