Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Umepita mle mle tulimopangaShikilieni hapo hapo na zaidi.
Hakikisheni safari hii huu siyo moto wa mabuwa utakaokuja kuzimwa na CCM kwa njia yoyote ile, iwe ya hadaa au ya maguvu ya polisi, au wizi wa kura hapo 2024/25.
Fanyeni utafiti, ndani kwa ndani kuanzia sasa, kuhakikisha moto huu unazidi kupamba moto kuelekea kwenye chaguzi hizo.
Ndani ya chama, tafuteni mbinu za kuukoleza moto huo.
Tegeemeni sayansi zaidi safari hii, badala ya maluweluwe ya mwonekano wa juu juu kuhusu nyomi hizi.
Aiseeeee !!Bibi yangu walimtoa kibaha mailimoja hadi Kawe wakamtelekeza ikabidi tumtumie dereva maana pilika za daladala kwa umri wake haziwezi!! Imagine watu walitoka kibaha!
We jama kila mada ya Chadema upo.Sawa
πππππ
π π πBibi yangu walimtoa kibaha mailimoja hadi Kawe wakamtelekeza ikabidi tumtumie dereva maana pilika za daladala kwa umri wake haziwezi!! Imagine watu walitoka kibaha!
AiseeBibi yangu walimtoa kibaha mailimoja hadi Kawe wakamtelekeza ikabidi tumtumie dereva maana pilika za daladala kwa umri wake haziwezi!! Imagine watu walitoka kibaha!
Watu wamepanda juu ya miti kama ZakayoHapa ni kata ya Kome Kisiwani , Kwenye Mkutano wa Hadhara ulioongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , baada viwanja kujaa watu
View attachment 2706398
Hata ningekuwa mimi kwa hali ya Uwanja kama hivi ningepanda kwenye Mkuyu tu
View attachment 2706399View attachment 2706400
View attachment 2706402View attachment 2706403View attachment 2706404
Usiondoke JF , mambo ni mengi mno !
EeeenHeeeeee!Umepita mle mle tulimopanga