Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
👉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni mimba au??ni kitambo??Unene unavyopoteza muonekano wa mtu.
Acha nile zangu nipate tumbo kubwa
Raia wa wapi huyu serikali yake iingilie kati😂😆🤣
Wanapenda hao balaa!
Hii nchi uhuru umepitiliza.
Hivyo unataka kusema bila chips yai huyo angekuwa mwembamba? 😅Tatizo siyo miili bali ni kufukia tumboni chips yai😁😁😁