Tetesi: Picha ya spicy mpenzi wa Jide na shoga maarufu yazua utata

Tetesi: Picha ya spicy mpenzi wa Jide na shoga maarufu yazua utata

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
IMG_9090.JPG


Hata yeye amewahi kukiri mpenzi wake lady jaydee amewahi mtuhumu na scandal ya ushoga Ila yeye akapotezea, now picha yake na shoga maarufu Nigeria , bob risk imesambaa ikiwaonyesha wawili hao wakiwa kwenye pozi tata, kitu ambacho mashabiki wa lady jaydee wamemjia juu staa huyo na kumshambulia kwa matusi
 
Konki Konki Konkoi Master njoo utudhibitishie hii habari kama kuna ukweli wowote vinginevo kama n kweli dadayetu nae atakuwa...
 
View attachment 926336

Hata yeye amewahi kukiri mpenzi wake lady jaydee amewahi mtuhumu na scandal ya ushoga Ila yeye akapotezea, now picha yake na shoga maarufu Nigeria , bob risk imesambaa ikiwaonyesha wawili hao wakiwa kwenye pozi tata, kitu ambacho mashabiki wa lady jaydee wamemjia juu staa huyo na kumshambulia kwa matusi

Duh kweli
 
View attachment 926336

Hata yeye amewahi kukiri mpenzi wake lady jaydee amewahi mtuhumu na scandal ya ushoga Ila yeye akapotezea, now picha yake na shoga maarufu Nigeria , bob risk imesambaa ikiwaonyesha wawili hao wakiwa kwenye pozi tata, kitu ambacho mashabiki wa lady jaydee wamemjia juu staa huyo na kumshambulia kwa matusi
Hii picha shoga ni yupi hapo?
 
Ah kumamae wallah... sasa huyo ukikutana naye kitaa usiku si unaimbisha kabisa sheikh wangu...?
Ila tuache masihara! Niliwahi muona shoga mmoja hivi wa huko huko West Africa... wallah tena hata akikaa na akina Hamisa, Zari & Co., unaweza kumchagua huyo shoga jinsi alivyokuwa mzuri wa sura hata umbo!!

Ingawaje wanasema Mungu hafanyi makosa, yule jamaa Mungu alimkosea kwa viwango vyote manake ni mwanamke kwa 100% hata kama alimpa mapvmbv!
 
Ila tuache masihara! Niliwahi muona shoga mmoja hivi wa huko huko West Africa... wallah tena hata akikaa na akina Hamisa, Zari & Co., unaweza kumchagua huyo shoga jinsi alivyokuwa mzuri wa sura hata umbo!!

Ingawaje wanasema Mungu hafanyi makosa, yule jamaa Mungu alimkosea kwa viwango vyote manake ni mwanamke kwa 100% hata kama alimpa mapvmbv!
Hahahahah sheikh naona kama Asumani kichwa wazi wako kwa mara ya kwanza aliamka kwa mwenye mapumbu bila shuruti...
 
Sheikh acha utani bhana... hicho kipusa hapo kinaning'iniza korodani??
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Unajuaje mahali psnapopikwa ubwabwa mzuuri wa nazi kama wewe sio mpenzi wa bwabwaz ?
 
Back
Top Bottom