View attachment 926336
Hata yeye amewahi kukiri mpenzi wake lady jaydee amewahi mtuhumu na scandal ya ushoga Ila yeye akapotezea, now picha yake na shoga maarufu Nigeria , bob risk imesambaa ikiwaonyesha wawili hao wakiwa kwenye pozi tata, kitu ambacho mashabiki wa lady jaydee wamemjia juu staa huyo na kumshambulia kwa matusi
Hii picha shoga ni yupi hapo?View attachment 926336
Hata yeye amewahi kukiri mpenzi wake lady jaydee amewahi mtuhumu na scandal ya ushoga Ila yeye akapotezea, now picha yake na shoga maarufu Nigeria , bob risk imesambaa ikiwaonyesha wawili hao wakiwa kwenye pozi tata, kitu ambacho mashabiki wa lady jaydee wamemjia juu staa huyo na kumshambulia kwa matusi
Wa kushoto kwako Sheikh.Hii picha shoga ni yupi hapo?
Sheikh acha utani bhana... hicho kipusa hapo kinaning'iniza korodani??Wa kushoto kwako Sheikh.
Ohoooo, shauri yako Maalimu.Sheikh acha utani bhana... hicho kipusa hapo kinaning'iniza korodani??
Ah sasa huyo ukikutana naye kitaa usiku si unaimbisha kabisa sheikh wangu...?Ohoooo, shauri yako Maalimu.
Wanasema Kaifa.
Huyo ni shoga maarufu sana nigeria mkuuMimi nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa huyo wa kushoto kwangu ni shoga!
Ila tuache masihara! Niliwahi muona shoga mmoja hivi wa huko huko West Africa... wallah tena hata akikaa na akina Hamisa, Zari & Co., unaweza kumchagua huyo shoga jinsi alivyokuwa mzuri wa sura hata umbo!!Ah kumamae wallah... sasa huyo ukikutana naye kitaa usiku si unaimbisha kabisa sheikh wangu...?
Hahahahah sheikh naona kama Asumani kichwa wazi wako kwa mara ya kwanza aliamka kwa mwenye mapumbu bila shuruti...Ila tuache masihara! Niliwahi muona shoga mmoja hivi wa huko huko West Africa... wallah tena hata akikaa na akina Hamisa, Zari & Co., unaweza kumchagua huyo shoga jinsi alivyokuwa mzuri wa sura hata umbo!!
Ingawaje wanasema Mungu hafanyi makosa, yule jamaa Mungu alimkosea kwa viwango vyote manake ni mwanamke kwa 100% hata kama alimpa mapvmbv!
Hahahaa! Hapana bhana... kwanza wakati ule nilikuwa bado kavulana lakini hadi leo sijamsahau yule shoga!!Hahahahah sheikh naona kama Asumani kichwa wazi wako kwa mara ya kwanza aliamka kwa mwenye mapumbu bila shuruti...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Sheikh acha utani bhana... hicho kipusa hapo kinaning'iniza korodani??
Ohooooo shauri yako dunia ina mengiMimi nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa huyo wa kushoto kwangu ni shoga!