Tetesi: Picha ya spicy mpenzi wa Jide na shoga maarufu yazua utata

Shoga yupi kati hao wawili[emoji15][emoji15]
 
Hahahaa! Hapana bhana... kwanza wakati ule nilikuwa bado kavulana lakini hadi leo sijamsahau yule shoga!!
Afadhali kiongozi... Maana vijana hawachelewi kukuita Konki konki master mzee wa Oil chafu
 
Weka picha
 
hahaa huyo wanayemsema kuwa ni choko umeziona papi za mdomo wake lakini ".. lmfao !! shoga mazuri namna hiyo aisee
 
Heee huyo dada mrembo hapo pembeni ni mwanaume, dunia simama nishuke
 
Ah kumamae wallah... sasa huyo ukikutana naye kitaa usiku si unaimbisha kabisa sheikh wangu...?
We mwenyewe umemuona mchana na imekupa shida kuamini sasa usiku hakuna cha kuuliza. Suprise utaipata mkifika kwenye eneo la tukio..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…