Picha ya Ziara ya Kwanza ya Dr. Slaa Mkoani Kigoma baada ya kuhamia chadema Miaka ya 90

Picha ya Ziara ya Kwanza ya Dr. Slaa Mkoani Kigoma baada ya kuhamia chadema Miaka ya 90

donrushs

Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
40
Reaction score
4
Naomba Tuweke kumbukumbu sawa kidogo...... Picha hii ni ilipigwa miaka ya 90 kipindi Dr. Slaa anahamia Chadema akitokea CCM, Na huyo Mwenye Kaunda suti ndiye alikuwa mbunge wa kwanza Na pekee kupitia chadema Dr. Aman Walid Kabourou jimbo la Kigoma Mjini, ilikuwa ziara ya kwanza Kwa Dr. Slaa kufika jimbo la Kigoma Mjini kujifunza Na kujionea chadema ilivyo kuwa inafanya vizuri, angalizo langu ni Kwa wote mlioingia chadema kipindi cha uchaguzi wa 2010 kuweni makini Na chadema yenu mnayoivuruga Kwa dhambi ya kubaguana, chadema ni ya watanzania Na si ya tabaka la watu flani...... Kaeni chini muelewane Kama kweli Mna nia ya dhati ya kuwakomboa watanzania.

attachment.php
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1389075446.614518.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1389075446.614518.jpg
    88.6 KB · Views: 1,883
Tatizo la vijana wengi ni bendera fuata upepo, wakisikia fulani kafanya hili basi wanaamini kwa asilimia zote hawajui hata historia ya kukua kwa cdm. AMani warid kaburu alikijengea sifa nzuri cdm na akawa miongoni mwa wabunge 2 wa kwanza wa cdm, baada ya hapo walimshukuru kwa kumtimua, zzk kafanya mazuri na amekipaisha cdm, shukrani za wanacdm ni kumtimua kwa kashfa lukuki na kusahau mchango wake. Timua timua itaendelea (Nyerere alisema) safari ijayo Tundu Lisu kaa tayari kupokea matokeo. Lakini viongozi wengine wakifanya ufusika ndani ya cdm, wakiwa na kadi za magamba au kukopesha chama kwa riba hayo si makosa hata kidogo, kosa la jinai ndani ya cdm ni kugombea nafasi ya mbowe. Nawahakikishia cdm baada ya uchaguzi wa 2015 ambao utashuhudia cdm ikiangukia pua itakwishilia mbali. Kaeni na siasa zenu za ukanda, Nani amsogeze Mchaga karibu na hela??????????????
 
kwa point iliyofikiwa saizi, maelewano hakuna. Mbowe ameshaamua kukivuruga chama.
 
Ni kumbukumbu nzuri na nashukuru mkuu maana umenikumbusha mbali,kwa mwenye kuelewa maisha ya dunia hii hakuna safari ya baharini isiyokuwa na dhoruba ya kinachotokea CHADEMA sasa ni mambo ya kawaida ya yataisha tu
 
Back
Top Bottom