Dah wakati wanamchukua mwamnyeto kwenye ile hela ya usajili milioni 80 ilikuwa ya udhamini wa gsm kwa coastal union wakasema watafanya gsm cup haikufanyika naona wakaamua kujipa kombe hapo wanawadanganya hao wageni
Yes ile 150 imekatika mara tatu,ya mchezaji klabu na udhamini na hiyo gsm cup ambayo haikufanyikaKumbe
Minne tenaKushabikia hizi timu kubwa yataka moyo yaani Kuna mtu tangu yupo form one kaanza kuipenda Yanga na hadi leo yupo form four anaipenda lkn hajawahi kuiona ikichukua Kombe la VPL....
ndiyo hao wazeee wa skendo za kodihivi hawa gsm ndiyo walikuwa home shopping centre?