malema 1989
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 1,319
- 520
najivunia kuwa mwana Yanga. timu ambayo hata mwanachama mdogo kama mm akitoa ushauri wake husikilizwa na kupewa ushirikiano.
kimsingi klabu ya yanga inaweza yote haya kwani uongozi wake upo makini katika kuskiliza hoja na kuzifanyia kazi. huwa sioni tabu kupita jangwani na kudondosha neno langu kwa viongozi wa klabu. hapa hata @kikungu atathibitisha haya. halaf nipe matokeo ya maveterani nani alishinda??
namsubiri Billie abofye LIKE!






