Picha yangu bora 2010- Yote njaa

wote wakikaa ofisini au wakifungua mabotique....nani atauza samaki?........wamenitamanisha sana
 
hao wana vumbi au wana chumvi nyingi halaf hawana thoum na pili pili,,, basi subiri nende sokoni nikakutafuti wakwako...


.Na nitaomba nikusaidie kumkosha,nimtie viungo mwenyewe na perfum,kisha wewe utanisaidia kumkaanga na kumla tu.
 
samaki hatiwi perfume mwenzangu,,,,, lakini kwakuwa watu wana maana mengine ya neno samaki,,,, naona bora tustopishe,,,, we nenda kapumzike samaki samaki niwajuao mimi nitakukaangia nikupostie,,,, okey???
.Na nitaomba nikusaidie kumkosha,nimtie viungo mwenyewe na perfum,kisha wewe utanisaidia kumkaanga na kumla tu.
 
samaki hatiwi perfume mwenzangu,,,,, lakini kwakuwa watu wana maana mengine ya neno samaki,,,, naona bora tustopishe,,,, we nenda kapumzike samaki samaki niwajuao mimi nitakukaangia nikupostie,,,, okey???



Usiwe mkali ghafla mama kwani we huijui perfum ya samaki?Perfum ya samaki ni bizari,sijui kama na hiyo unaijua,au unatia tanduri nayo ni perfum nzuri kweli kwa samaki.
 
Hii picha imeniuma dunia nzima. Ndo dunia hiyo kaama shule za boarding wengine bwenni wengine mesini, wengine ugali wengine wali. Its really paining!
 
Samak ndo mzuri bwana,unaweza ukamla kila kitu....,kuanzia mkiani hadi kichwani
 
hivi kwe serikali inaweza kuibadilisha hii adha wanayopata au inaitajika ubunifu wetu
 
wanawake na maendeleo. heko wanawake wote, ule wakati wa magolikipa umekwisha

Haa!
Maendeleo gani hapo?
Maendeleo wanayo wachache ...hasa waliohudhuria Beijing.
Huyo mama kama ane mume na hali hiyo kweli Mechi itakuaje hapo?
Usikute na babu nae huko alipo analima kwa jembe la mkono...msosi ni mihogo ya kuchoma..kama muda upo...otherways...anakula mihogo mibichi.
 
Usiwe mkali ghafla mama kwani we huijui perfum ya samaki?Perfum ya samaki ni bizari,sijui kama na hiyo unaijua,au unatia tanduri nayo ni perfum nzuri kweli kwa samaki.
.... amelianzisha halafu an kwepa? daaah! mshikaji na wewe ni bingwa, hapa na hapa umepangua!
 
a very strong woman,very indipendent anasomesha watoto wake,analipa kodi ya nyumba,maji ,umeme etc,Mungu amsaidie na kumpigania.,kapendeza na nguo pamoja na kitenge chake
 

ndugu hiyo ndiyo dunia. sio kuwa nimeridhika na hali yake, ila napongeza na kutia moyo juhudi zake za kujitegemea na kujiletea maendeleo familia yake. heko mamangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…