NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
paka mweusi njoo na wewe utamani samaki hukuuuu,,,,,,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
paka mweusi njoo na wewe utamani samaki hukuuuu,,,,,,,
Mi hao siwataki,nataka uniandalie wa kwako.
hao wana vumbi au wana chumvi nyingi halaf hawana thoum na pili pili,,, basi subiri nende sokoni nikakutafuti wakwako...
.Na nitaomba nikusaidie kumkosha,nimtie viungo mwenyewe na perfum,kisha wewe utanisaidia kumkaanga na kumla tu.
samaki hatiwi perfume mwenzangu,,,,, lakini kwakuwa watu wana maana mengine ya neno samaki,,,, naona bora tustopishe,,,, we nenda kapumzike samaki samaki niwajuao mimi nitakukaangia nikupostie,,,, okey???
Ila hawa ndio wanaongoza kwa kuipigia kura CCM
wanawake na maendeleo. heko wanawake wote, ule wakati wa magolikipa umekwisha
.... amelianzisha halafu an kwepa? daaah! mshikaji na wewe ni bingwa, hapa na hapa umepangua!Usiwe mkali ghafla mama kwani we huijui perfum ya samaki?Perfum ya samaki ni bizari,sijui kama na hiyo unaijua,au unatia tanduri nayo ni perfum nzuri kweli kwa samaki.
.... amelianzisha halafu an kwepa? daaah! mshikaji na wewe ni bingwa, hapa na hapa umepangua!
Haa!
Maendeleo gani hapo?
Maendeleo wanayo wachache ...hasa waliohudhuria Beijing.
Huyo mama kama ane mume na hali hiyo kweli Mechi itakuaje hapo?
Usikute na babu nae huko alipo analima kwa jembe la mkono...msosi ni mihogo ya kuchoma..kama muda upo...otherways...anakula mihogo mibichi.