Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Picha Yangu Ya Leo Nani ni Mchapa Kazi Hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja tusubiri hawa wazuri na mzee makamba kama wataishi mileleWabaya wanakufaga mapema
Utakufa utawaachangoja tusubiri hawa wazuri na mzee makamba kama wataishi milele
ndo ambacho kimem cost mzee wa watu.kwa kujitoa kwake na uzalendo
Babu shikamooMtoto wa Mjini Vs Mtoto wa Bush
Ni ngumu sana kumlinganisha Mtoto aliyezaliwa Dar na aliyezaliwa Tandahimba kwenye uchapazi za mikono...
Mahaba nibabue....Babu shikamoo
Hatuonani babu leo nikajikuta nimekukumbuka nikajiuliza ivi babu Asprin yupo kweli, halafu nikakuona hapaMahaba nibabue....
Yaani wewe ni kaongo sijapata kuona...Hatuonani babu leo nikajikuta nimekukumbuka nikajiuliza ivi babu Asprin yupo kweli, halafu nikakuona hapa
Hakyanani nisingekuona ndani ya hii wiki ningekutafuta. Mimi mjukuu wako napoteza sana simu namba yako sijui lini mara ya mwisho nilikuwa nayoYaani wewe ni kaongo sijapata kuona...
Kwani namba zangu ulifuta?
PM umechemka kunitafuta?
Si ungepanda boda uje Bunju tule matikiti na Konyagi?
Unatumia kiswaswadu? Siku hizi namba tunasevu kwa gugo....Hakyanani nisingekuona ndani ya hii wiki ningekutafuta. Mimi mjukuu wako napoteza sana simu namba yako sijui lini mara ya mwisho nilikuwa nayo
uzalendo kwako, nyau huna hata aibu, lilikuwa jitu katili liuaji, libaguzi.jpm asilinganishwe na yotote yule Tanzania kwa kujitoa kwake na uzalendo
tofautisha maigizo na uchapakaziDictetor alikuwa mchapakazi
[emoji16][emoji16][emoji16] naonaga uvivu kuhamisha zilizopo kwenye kiswaswadu. NiwazapUnatumia kiswaswadu? Siku hizi namba tunasevu kwa gugo....
Nikubipu au Nikuwazapu?
Hakuna mchapa kazi, Wote waigizaji