Picha yangu ya siku

Picha yangu ya siku

mwache, azitumie kuwagegeda hao, maana nchi yenyewe isha kufa hii.
Hiv kaz ya hela ni kutumia kugegeda tu mkuu...kama ana mawazo hayo lile neno bankrupt litakuja kwenye kamusi yake mda sio mrefu ..
 
Ukimwambia onyesha asset au investment yake yoyote yenye thaman iyo??hawezi
Umeongea point mkuu, kama ana akili atainvest lakin mwisho wa siku ni hela zake akiamua azitumie anavotaka ni yeye akiamua azimwage baharini ni zake tu
 
Hongera BW.MDOGO, wenzio wana masters lakini namna ya kupata milioni moja ni issue, wewe una karibu milioni tisini na uliishia primary! Hongera sana!
Dah sindano yako nahsi itakua imepenya mahali mkuu hahaha
 
Bwana nilivyokuwa mdogo wakati ule tunanunua kanda za Michael, Thriller, bwana acha.
Hahah acha tu...nilikua naiimba ile "beat it " yote kipind hicho sasa iv siwez sjui ndo uzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pia nlikua napenda sana ile thriller ...
unakumbuka haya maneno
"but dad this is the best part, i dont want you to listen to this gabbage now go to bed" [emoji6][emoji23]
 
Hahah acha tu...nilikua naiimba ile "beat it " yote kipind hicho sasa iv siwez sjui ndo uzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pia nlikua napenda sana ile thriller ...
unakumbuka haya maneno
"but dad this is the best part, i dont want you to listen to this gabbage now go to bed" [emoji6][emoji23]
Nilikuwa nikisign autograph, unazikumbuka? Future husband: Micheal😛😛
 
Utoto bana, yaani Mzee mengi ukimstopisha njiani ukamsachi sijui hata kama utamkuta na laki moja mfukoni.
 
Ni Tanzania (Africa) ambapo hatujielewi mtu unadraw cash mihela hiyo kwa sababu gani? Wewe ukitenguliwa kiuno utaluum nani?
Serikali kutokusimamia fedha vizuri, ndiyo maana watu wanatorosha/ kuhamisha mali na serikali haiwezi kutress ilipo mali kama hizo...
 
Back
Top Bottom