BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Bata ni mchafu lakini mnamla na hatusemi?Mbuzi katoliki si vegan, anakula kila kilichombele yake nadhan kabakisha chuma tu. Huyu mnyama ni mchafu san
Tuliza kitenesiMbona Bata ni mchafu lakini mnamla na hatusemi?
Halafu nikuambie kitu hivi unafikiri hao ng'ombe unaokula nyama zao unadhani wote ni WCB??
View attachment 3188954
Mbuzi katoliki si vegan, anakula kila kilichombele yake nadhan kabakisha chuma tu. Huyu mnyama ni mchafu san
NguruweMbuzi katoliki ndo mnyama yupi mkuu?
Pumbavu , haujamuelewa mtoa mada.Mbona Bata ni mchafu lakini mnamla na hatusemi?
Halafu nikuambie kitu hivi unafikiri hao ng'ombe unaokula nyama zao unadhani wote ni WCB??
View attachment 3188954
Nyama haina maana, ni upuuzi!Ukiwa unakula vegetables unapata virutubisho directly ila ukila nyama unavita passive.
Mfano tembo anapata directly ila simba akimla tembo anavipata passively from the eaten meat.
Nahisi ukijiendekeza kuwa veg unaweza kuja kuliwa, that is my take
Umeanzisha vitaMbuzi katoliki si vegan, anakula kila kilichombele yake nadhan kabakisha chuma tu. Huyu mnyama ni mchafu san
Kula mdudu wewe acha kumsema vibaya unaweza kupata laana shauri yakoMbuzi katoliki si vegan, anakula kila kilichombele yake nadhan kabakisha chuma tu. Huyu mnyama ni mchafu san