Picha Yenye Tafsiri zaidi ya Mia moja Mapokezi ya Lissu

Picha Yenye Tafsiri zaidi ya Mia moja Mapokezi ya Lissu

Tafsiri ya kuunga mkono mahusiano ya jinsia moja ndio mbaya
 
Risasi nyingi kwa lisu
lakini leo ni mwenye afya na nguvu kama anavyomuona
Mwenendo mzima wa namna alivyoendesha kampeni
Yaliyomkuta hasimu wake
Matarajio ya kile lisu atakachofanya kutokana na hali ya sasa
Hapo anaamini mkombozi amerudi japo kiuhalisia sivyo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna wakati ukiwa na Jambo kubwa la Furaha Machozi huwa yanatoka kana kwamba uko kwenye hudhuni nzito, kumbe ni furaha iliyoukamata Mwili wako wote, na kusababisha kumwaga machozi mazito!!!

Huyu Mama yuko kwenye furaha nzito sana!!
Amejaribu kuvuta picha jinsi Mh. Tundu Lissu alivyochungulia kaburi ikiambatana na mateso Mengine mengi!!

1. Kesi za jinai 6 zenye lengo la kumfunga miaka mingi Gerezani = zimefutwa

2. Kupigwa Risasi 16 Mwilini = alipona

3. Kuzuuliwa kugombea Urais TLS = aligombea

4. Kukimbilia uhamishoni kwa Tishio la kuuawa na kuishi nje zaidi ya miaka 5 = amerudi

5. Yule aliyeagiza auawe = alikufa yeye!!

Hayo mambo 5 ndo yanamuliza huyo Mama!!!

Hakika ukitafakari vzr ni lazima machozi yakutoke,
Na hayo ndo Maajabu ya Mungu Muumba mbingu na nchi!!!

COPY & PASTE kutoka kwa mdau mmoja huko kanda ya ziwa.
 
Mnalipa watu waende kufanya uinga kweye mkutano kana kwamba ndio itawasaidia
 
TATIZO LA TANZANIA MIKUTANO YA UPINZANI INAKUWA NA WATU WENGIII ILA KURA ZINAKUWA NYINGIII KWA CCM
Hili swala nimewahi kulifikiria lakini majibu yake yaache tu ndugu, tumuachie Mungu.
 
Aiseee yaani mtu unaweka matumaini kwa mwanadamu, ambaye muda wowote hayupo, mbaya zaidi huyo unayemtumainia yupo hapo kwa maslahi binafsi. inaseketisha saaaaaaana.
Kuna walioweka matumaini kwa Magu, na wengine bado hadi leo wanamtumaini..! Sembuse huyo..!!??
 
Kuna wakati ukiwa na Jambo kubwa la Furaha Machozi huwa yanatoka kana kwamba uko kwenye hudhuni nzito, kumbe ni furaha iliyoukamata Mwili wako wote, na kusababisha kumwaga machozi mazito!!!

Huyu Mama yuko kwenye furaha nzito sana!!
Amejaribu kuvuta picha jinsi Mh. Tundu Lissu alivyochungulia kaburi ikiambatana na mateso Mengine mengi!!

1. Kesi za jinai 6 zenye lengo la kumfunga miaka mingi Gerezani = zimefutwa

2. Kupigwa Risasi 16 Mwilini = alipona

3. Kuzuuliwa kugombea Urais TLS = aligombea

4. Kukimbilia uhamishoni kwa Tishio la kuuawa na kuishi nje zaidi ya miaka 5 = amerudi

5. Yule aliyeagiza auawe = alikufa yeye!!

Hayo mambo 5 ndo yanamuliza huyo Mama!!!

Hakika ukitafakari vzr ni lazima machozi yakutoke,
Na hayo ndo Maajabu ya Mungu Muumba mbingu na nchi!!!

COPY & PASTE kutoka kwa mdau mmoja huko kanda ya ziwa.

Kwa kweli!
 
Back
Top Bottom