PICHA: Yericko Nyerere amwangukia Tundu Lissu

PICHA: Yericko Nyerere amwangukia Tundu Lissu

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
Lissu ndio kiongozi pekee asiye na kisasi ndani ya CHADEMA,

Pamoja na matusi ya kila namna aliyemtukana Lissu Leo wako pamoja wanacheka na kufurahi,

Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.

IMG-20250121-WA0164.jpg
 
Lissu ndio kiongozi pekee asiye na kisasi ndani ya CHADEMA,

Pamoja na matusi ya kila namna aliyemtukana Lissu Leo wako pamoja wanacheka na kufurahi,

Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.

watu wa namna hiyo agustino mrema alikuwa anawaita machangudoa wa kisiasa. hawana msimamo unaoeleweka.
 
Back
Top Bottom