mozilla
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 770
- 1,222
DuuuhYericko sehemu ya ubongo kuna muhogo mkubwa sana na kipande cha kiazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuuhYericko sehemu ya ubongo kuna muhogo mkubwa sana na kipande cha kiazi
Wewe unapenda sana uchawa.Lissu anapenda sana kula kula.
Ulitaka amtukane?Lissu ndio kiongozi pekee asiye na kisasi ndani ya CHADEMA,
Pamoja na matusi ya kila namna aliyemtukana Lissu Leo wako pamoja wanacheka na kufurahi,
Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.
Weka kashfa moja hapa wewe Bibi Pombe na nyama za bure.Ila nyumbu wa lissu ni wangese kinoma, hivi mbowe amekashifiwa mara ngapi na lissu lkn mbowe hajamtenga Wala kumkwamisha kwa lolote na wanaongea kama kawaida wakikutana. Iweje hiyo haijawa stori Bali ya isipokuwa kwa huyo bwana wenu?!!
Mtafirimbwaaaa na ungese wenu huoWeka kashfa moja hapa wewe Bibi Pombe na nyama za bure.
Kashifa ipi we pimbi jikeIla nyumbu wa lissu ni wangese kinoma, hivi mbowe amekashifiwa mara ngapi na lissu lkn mbowe hajamtenga Wala kumkwamisha kwa lolote na wanaongea kama kawaida wakikutana. Iweje hiyo haijawa stori Bali ya isipokuwa kwa huyo bwana wenu?!!
Mtu huna Linda hata Moja utaelewa nini' we lafa?!!!Kashifa ipi we pimbi jike
Angekuwa shabiki ya wale green & yellow nation tungesema tatizo ni lilipo mwiko!Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.
Mnafique sana huyo
Unanisingizia mkuu!Mnafiki hanaga aibu
😹😹😹Yericko ni mchumia tumbo! Ni wale machawa ambao hawana mshipa wa aibu!
Angekuwa wa kike angebeba mimba mbili mbili yaani kabla ya kutoka leba anatundikwa nyingine!
Matunguli yamegonga mwamba??Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.
Mnafique sana huyo
amemwangukia vipi?Lissu ndio kiongozi pekee asiye na kisasi ndani ya CHADEMA,
Pamoja na matusi ya kila namna aliyemtukana Lissu Leo wako pamoja wanacheka na kufurahi,
Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.
kweli picha hiyo inaonesha kuangukia mtu? mshana Bwana rafiki! why not Lisu kumwangukia Yeriko. Unamwangukia ili iweje, hata Lisu akiwa Mwenyekiti, hana vyeo na kazi za kugawa kama samia. Hana hela kama Mbowe kuwa anaweza akawa anapata 10, 20 toka kwa Lisu! Amwangukie kwa lipi?Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.
Mnafique sana huyo
Mie nimeona wamekaa tu kwenye viti. Hajamwangukia.kweli picha hiyo inaonesha kuangukia mtu? mshana Bwana rafiki! why not Lisu kumwangukia Yeriko. Unamwangukia ili iweje, hata Lisu akiwa Mwenyekiti, hana vyeo na kazi za kugawa kama samia. Hana hela kama Mbowe kuwa anaweza akawa anapata 10, 20 toka kwa Lisu! Amwangukie kwa lipi?
aiseee..!Yericko sehemu ya ubongo kuna muhogo mkubwa sana na kipande cha kiazi
CDM mnatukana sana hadi kuja kujijenga inakuwa ngumu sana.Yericko sehemu ya ubongo kuna muhogo mkubwa sana na kipande cha kiazi