Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
Kasoma upepoYericko sehemu ya ubongo kuna muhogo mkubwa sana na kipande cha kiazi
😊😊😊😊Yericko sehemu ya ubongo kuna muhogo mkubwa sana na kipande cha kiazi
watu wa namna hiyo agustino mrema alikuwa anawaita machangudoa wa kisiasa. hawana msimamo unaoeleweka.Lissu ndio kiongozi pekee asiye na kisasi ndani ya CHADEMA,
Pamoja na matusi ya kila namna aliyemtukana Lissu Leo wako pamoja wanacheka na kufurahi,
Yakiwa yamesalia masaa machache kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Yericko Nyerere amwangukia Mwenyekiti mpya ajae.
Yericko anaabudu mizimu itakuwa ibada zake zinamuathiri kadri siku zinavyoendaYericko sehemu ya ubongo kuna muhogo mkubwa sana na kipande cha kiazi
Mwanaume halisi, shupavu lazima apende kula kula.Lissu anapenda sana kula kula.
Ndivyo alivyo mkuu, hapo ametabasamu mpaka mwishoHahaha, Mbona picha inaonyesha Lisu bado anagombana.
Hahaha basi hatufai.Ndivyo alivyo mkuu, hapo ametabasamu mpaka mwisho