Picha z Redds fashion's Gala

Picha z Redds fashion's Gala

Huyu si alikuwa demu wa zamani wa MwanaFA ina maana kwa sasa yuko na Hasheem?

maslahi baba maslahi...hata Aly choki zamani alikuwa Twanga pepeta na sasa yupo kivyake kisa maslahi. Hahim Sabiti maslahi yake na bata si mchezooo
 
attachment.php
hivi nayo hii ni nguo eeeh?
 
IMG_6893.jpg

Kwa msiomjua mke wa Michuzi ndio huyu....

Hai-make sense
Wewe unajua tofauti ya mke na wachakachuaji au.....???!!!

wacha masihara kabisa wewe...MKE ANATOKA MBALI sheikh...ohh
 
pamoja na kupiga konoz yoote hiyo mbona mke mwenyewe hajatoa ushirikiano wowote,inatia shaka
 
duh! Mbona huyu anatisha??
anatisha balaaa huyu ukikutana nae gafla kona za kinondoni makaburini lazima utoke baru nla ajabu break ya kwanza mwananyamala hospital.mh eti super model me hata sielewagi kwakweli tanzania kwa kupeana vyeo na majina ni balaaaa
 
Back
Top Bottom