Picha za jeneza za Ivan ila.....

Watoto walikuwa wanatunzwa na daimondi.
Ila aivani amemfunika sana daimondi hasa kwenye mazishi.
 
nimeona iyo wakati maiti inatua uganda ilikua na nylon
 
Mange anawachanganya sana na yule zari alienda kumsalimia kule hospitali alikuwa fake au ivan amekufa mbona watanzania mnavipaji sana vya kutunga mambo huki muangalia ivan akiwa hospitali kama walimpasua kichwa itakuwa aliaribika kweli
Mamge nasgindwa kuelewa chuki yake kwa zari ni kisa tu Zari anatoka na Mondi au kuna la ziada. Coz naona mamge kinamuuma kuliko hata wema. Mange anatamaninkwa moyo wake woote baya lolote limpate Zari. Sijui vipi yule bi mdashi
 
Mamge nasgindwa kuelewa chuki yake kwa zari ni kisa tu Zari anatoka na Mondi au kuna la ziada. Coz naona mamge kinamuuma kuliko hata wema. Mange anatamaninkwa moyo wake woote baya lolote limpate Zari. Sijui vipi yule bi mdashi
Sijawahi kuona kiumbe mwenye roho mbaya kama Mange!!yaani Mange anatamani Zari afe hata leo!!
 
Ukiwa kwenye kile chama ndio mambo yao ya kufake kifo cha mtu wao hasa wakikuona kama unakwenda kinyume chao.

Kuna move moja samweli Jackson ameact mule ndani wame disclose mambo yao kidogo hao ya kufake vifo.
Chama gani mkuu?
 
lolote linawezekana chini ya hii dunia, so haishindikan kuwa ame fake kweli
 
Samahani mkuu USD $150 ni sawa na tsh ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…