Picha za jeneza za Ivan ila.....

Kwahiyo mnataka kusema ka pakwa makeup nyeusi acheni baba wa watu apumzike jamamani daah wabongo noma au mnamuonea wivu zari kuvuta mpunga wa life insurance?
 
Yan huyu mange haishiwag uzushi sasa hata mengine anayoandikafa yawezekana sio ya kweli
 
Kuna kipande cha gazeti nimeona kuwa interpol wanataka kufanya uchunguzi wafukue kabuli la jamaa.......anyway ngoja muda uongee wenyewe
 
upo sahihi sana katika hilo
 
Kuna kipande cha gazeti nimeona kuwa interpol wanataka kufanya uchunguzi wafukue kabuli la jamaa.......anyway ngoja muda uongee wenyewe
Kifo cha mtu maarufu yeyote kina maneno maneno kuanzia kwa JF Ken, Elvis Presley, Tupac, MJ, Kanumba nk na hayo magazeti ni ya udaku sio reliable source. Ivan amekufa acheni maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…