Picha za jiji la Montreal Canada

Picha za jiji la Montreal Canada

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
IMG_0953.jpg

IMG_0947.jpg

IMG_0950.jpg

IMG_0946.jpg

IMG_0951.jpg
 
Majengo ya kizamani sana....haikuti mashariki ya kati na mbali
 
Majengo ya kizamani sana....haikuti mashariki ya kati na mbali
Canada ni nchi iliyoendelea, sio nchi inayoendelea.

Mashariki ya kati na mbali ni nchi zinazoendelea ndio maana unakna majengo ya mitindo mipya. Montreal ilishaendelea.

Jambo la pili, kuyabadilisha hayo majengo yawe na mavioo vioo na kuwaka waka kama yaliyoko china sio kazi ngumu, ni kazi ndogo tu.

So usibabaike na mavioo na majengo mapyaa.
 
Canada ni nchi iliyoendelea, sio nchi inayoendelea.

Mashariki ya kati na mbali ni nchi zinazoendelea ndio maana unakna majengo ya mitindo mipya. Montreal ilishaendelea.

Jambo la pili, kuyabadilisha hayo majengo yawe na mavioo vioo na kuwaka waka kama yaliyoko china sio kazi ngumu, ni kazi ndogo tu.

So usibabaike na mavioo na majengo mapyaa.
Unawaabudu wazungu🤪😜🤪
 
Back
Top Bottom