Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAHUNI WA AFRIKA ETI NI PRESIDENTS WATENGENEZE MIJI YETU IWE KAMA HIYOKwahiyo?
Canada ni nchi iliyoendelea, sio nchi inayoendelea.Majengo ya kizamani sana....haikuti mashariki ya kati na mbali
Unawaabudu wazungu🤪😜🤪Canada ni nchi iliyoendelea, sio nchi inayoendelea.
Mashariki ya kati na mbali ni nchi zinazoendelea ndio maana unakna majengo ya mitindo mipya. Montreal ilishaendelea.
Jambo la pili, kuyabadilisha hayo majengo yawe na mavioo vioo na kuwaka waka kama yaliyoko china sio kazi ngumu, ni kazi ndogo tu.
So usibabaike na mavioo na majengo mapyaa.
Umeandika huku ukiwa umekalia mashine ama nini? Mambo ya kuabudu wazungu yametoka wapi tena?Unawaabudu wazungu🤪😜🤪
Polee😄😄ina kuuma we🤣🤣🤣Umeandika huku ukiwa umekalia mashine ama nini? Mambo ya kuabudu wazungu yametoka wapi tena?