Picha Za Justin Bieber Alizopigwa Na Polisi Zimeachiliwa Kwa Mtandao!

Picha Za Justin Bieber Alizopigwa Na Polisi Zimeachiliwa Kwa Mtandao!

Ibrahim300

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2010
Posts
390
Reaction score
68
Justin Bieber tangu mwaka jana amekuwa akifuatwa na visanga na kuingizwa korokoroni mara kwa mara. Staa huyu mwenye albamu ya Journal ameweza kupigwa picha na polisi kutoka Miami Police Department na picha hizo zimetolewa kwa umma waziangalie.

Ok round hii Bieber hakuwa na chake kwani polisi iliwalazimu wamvue nguo zake zote na kumpekua tattoo zake zote za mwilini...

Baadhi ya picha zenyewe ndizo hapo chini...


Chanzo kutoka: bkuHABARI Blog
 
Kumpiga picha na hizo tattoo kuna maanisha nini???Shida nini hasa hapo?
 
Hivi kavaa sketi au nyanya puzo!!!

ukistaajabu ya bieber....hujayaona na huyu...
kavaa gauni ama tshirt..??
554632_371799992930321_1632607232_n.jpg
 
Mkuu ni utambuzi wa kawaida ili kujua mtu. Polisi wote duniani hufanya hivi.

Sidhan kama ni kote mkuu huku kwetu huyu majani anayejutia za kwake alifanyiwa huo utambuzi wa kina kweli??
 
Kama demu vile!!!!utaona watu wetu washaiga kujichora hizo tatoo!!!!!
 
Back
Top Bottom