Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Yule mamluki mmoja asikutisheHuku si ndio kwa wale wanaotaka kumlazimisha mzee atanue mihula?
MUNGU ibariki CDMAida Khenan ambaye ni Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkasi Kaskazini akiendelea kuomba kura kwa wananchi kama alivyotumwa na Chama chake
View attachment 1598912View attachment 1598913View attachment 1598914View attachment 1598915
Njia pekee ni kuzuia Mawakala kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura
Simu kituoni ya nini?Aida Khenan ambaye ni Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkasi Kaskazini akiendelea kuomba kura kwa wananchi kama alivyotumwa na Chama chake
View attachment 1598912View attachment 1598913View attachment 1598914View attachment 1598915
Njia pekee ni kuzuia Mawakala kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura
lazima mtukane hadi matusi yawaishe ,maana mmezidiwa kila kitu imebidi mjibu tu kwa hasiraπ€£π€£π€£π€£Pumbavu
Aida Khenan ambaye ni Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkasi Kaskazini akiendelea kuomba kura kwa wananchi kama alivyotumwa na Chama chake
View attachment 1598912View attachment 1598913View attachment 1598914View attachment 1598915
Njia pekee ni kuzuia Mawakala kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura
Kwa kuzuia mawakala na kuzuia simu kutumika, Chadema chali,,ila baada ya hapo Mimi hata kama tutakuwa wawili tu na Tundu Lissu nitaingia barabarani, kuna watu wanafikiri ni keyboard worrier, Siku ikifika watajua..Chadema itaangukia pua kila mahali.
Chadema kila mahali inatisha.Aida Khenan ambaye ni Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkasi Kaskazini akiendelea kuomba kura kwa wananchi kama alivyotumwa na Chama chake
Njia pekee ni kuzuia Mawakala kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura
Eti keyboard warriors laiini tumewashika vibaya mno.Kwa kuzuia mawakala na kuzuia simu kutumika, Chadema chali,,ila baada ya hapo Mimi hata kama tutakuwa wawili tu na Tundu Lissu nitaingia barabarani, kuna watu wanafikiri ni keyboard worrier, Siku ikifika watajua..
Huku si ndio kwa wale wanaotaka kumlazimisha mzee atanue mihula?
Pumbavu huko mwanza shule zilifungwa na walimu wakalazimishwa pamoja na wanafunzi wao wakamsikilize MAGUFULI kupitia mirindimo ya zuchu na DIAMONDI baada ya burudani mageti yakafungwa ili wasitoke !
Mnamdanganya nani kwamba MAGUFULI anakubalika??? Wehu sana nyie
Ndio huko huko kwa Ali arfiHuku si ndio kwa wale wanaotaka kumlazimisha mzee atanue mihula?
HachomokiKessy huku hana chake
Ndio tutaingia na camera sasaNjia pekee ni kuzuia Mawakala kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura
We....we....we...umekosea sana na unataka kumdanganya nani hapa?!!!Hizi picha ni za mwaka 1860!