Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Huku Nkasi si ndio Luna jamaa haipendi zanzibar
Haaaaa ndio yuko yule jamaa anayetaka bwana yuleee aongezewe miaka kwa nguvu hata kama hataki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku Nkasi si ndio Luna jamaa haipendi zanzibar
Kumbe jimboni kwake hawamtakiHaaaaa ndio yuko yule jamaa anayetaka bwana yuleee aongezewe miaka kwa nguvu hata kama hataki.
Picha za kutengenezaAida Khenan ambaye ni Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkasi Kaskazini akiendelea kuomba kura kwa wananchi kama alivyotumwa na Chama chake
Njia pekee ni kuzuia Mawakala kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura
Mnataka kuchoma moto king solomon ?Waingie nazo za Nini, mwambieni mgombea wenu Kyela aondoke king solomoni akalale kwake usale
Huku si ndio kwa wale wanaotaka kumlazimisha mzee atanue mihula?
Spy pen..Ndio tutaingia na camera sasa
Mkuu hazijatengenezwa hizo pic huyo dada namfahamu vizuri ana ushawishi mkubwa maeneo ya mwambao wa ziwa Tanganyika.Picha za kutengeneza
IQ yako ni hafifu sanaNi hii, Lissu ni binadamu aliejitoa akili akaamua kujipakaza kinyesi mwili mzima kama kinga yake. Akasahau dunia ya sasa kuna gloves na mask za puani.
Wazo zuriSpy pen..
imeisha hiyo!Aida Khenan ambaye ni Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkasi Kaskazini akiendelea kuomba kura kwa wananchi kama alivyotumwa na Chama chake
Njia pekee ni kuzuia Mawakala kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura
Sasa wanapambana na hali zao,wenyeji wameamua kuwakataa pamoja na Mambo yao yote.Huku si ndio kwa wale wanaotaka kumlazimisha mzee atanue mihula?
IQ yako ni hafifu sana
Tokeajana umo humu hata kulala umesauHii dislike yako ya maandishi ya rangi nyekundu maana yake nini?
Tokeajana umo humu hata kulala umesau
Sasa naziona comments zako zikiwa na maswali ya ajabu ajabu
Lala angalao lisaa limojaHazikukwazi lakini? ili niendelee.
Lala angalao lisaa limoja