Picha Za MATILDA HIPSY, Model Wa Ghana Anayedai Kuwa Na Makalio/Hips Makubwa Afrika Nzima

Ibrahim300

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2010
Posts
390
Reaction score
68
Kuna ule msemo wa zamani unaosema kuwa chema chajiuza, kibaya chajitembeza, lakini huu msemo hautafanya kazi hapa.

Kulingana na model huyu kutoka Ghana, anendelea kueneza kuwa yeye ndiye mwenye hips kubwa afrika nzima.

owk! kuna wengine watadai kuwa Snura ndiye mwenye kiuno cha kuvutia na mapaja na makalio makubwa, lakini je atayaweza ya Matilda?

Tukiongea ya Matilda Hipsy hebu mwanzo angalia picha zake alizozipiga kuonyesha baraka aliyoumbwa nayo...Snura anatosha hapo?


Chanzo:
[h=3]Picha 10 Za MATILDA HIPSY, Model Wa Ghana Anayedai Kuwa Na Makalio/Hips Makubwa Afrika Nzima [/h]
 
Daaah,.. Hivi hawa wanawazagakwamba kuna kifo even for a second??
 
Dunia ya sasa na utandawazi imebadilika
 
Samahani wakuu huyo dada ni mfanyabiashara wa ile kitu?
 
Wangu ndo noma huyo mtupu tu kwanza ya mchina
 
anamshinda Kweli nani sijui chupi mkononi ....?
 
Hivi Snura naye unaweza sema ana shepu ya kushtua mtu. Mimi mwenyewe hanipati hata robo. Labda angalau huyu. wanaomponda huyu wa kawaida ila Snura hamfikii.
 
Hivi Snura naye unaweza sema ana shepu ya kushtua mtu. Mimi mwenyewe hanipati hata robo. Labda angalau huyu. wanaomponda huyu wa kawaida ila Snura hamfikii.

that was not 'between lines' hii iko wazi sana kwamba unamtega mazabzab
 

wewe huyu cha mtoto, aje udom college ya education aone kuna watu wanahips za kutosha.
 
Hutaki kuamini basi. Nimerithi kutoka kwa my mama. Hatareeee we amini hivyo, namshukuru Mungu wengine wanatafuta michina.

tupe dalili hata kama ukipiga picha paja lako tutashkuru
 
Hutaki kuamini basi. Nimerithi kutoka kwa my mama. Hatareeee we amini hivyo, namshukuru Mungu wengine wanatafuta michina.

Mi ntumie picha pm alafu ntawaadisiia ila ili neno miss bantu inaweza kuwa kweh tuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…