Hah hah haanahao ndio wanakigoma ee?
Maisha mazuri na kuondowa umasikini hakuletwi na CCM. Usijidanganye.Kweli kabisa mkuu. Umasikini wetu unatokana na kuongozwa na akili ndogo ya CCM.
Hii ndio picha bora kuliko zoteππππKaribu tupate ugali muda huu hapa Kalalangabo. Asubuhi ya ugali samaki
View attachment 2840021
Asante sanaHii ndio picha bora kuliko zoteππππ
Ko kukokisiba busisya
Jamhuri ya watu wa Sogodoπ€£π€£π€£π€£
Heaven Sent nakusabahi kwa jina la Jamhuri!
Hapa panaitwa Kisiba.
Ha ha ha Matema Beach hapo.Esther Mwakipesile na vazi lake la ufukweni.
View attachment 2840061
Ha ha ha Matema Beach hapo.
Shwain zako; sikutumii uduvi na kuku wa ndooπ€£π€£π€£π€£
Heaven Sent nakusabahi kwa jina la Jamhuri!
π€£π€£π€£π€£π€£ Nawafuata huko hukooooShwain zako; sikutumii uduvi na kuku wa ndoo
Kyela moja hiyoHa ha ha Matema Beach hapo.
ππππ
Tatizo ni lile chama lako lenye watu wasio na akili unaloshabikia kama chai ya asubuhi....CCMZiwa lote hilo halafu tunasikia wakazi wanaolizunguka hawana maji ya kutosha na ni masikini.
Hakika umasikini wetu ni wa akili.
Sasa jifikirie wewe ambae chama chako kinatawaliwa na wasio na akili, kiwango chako cha akili kipoje?Tatizo ni lile chama lako lenye watu wasio na akili unaloshabikia kama chai ya asubuhi....CCM