Picha za mijengo ya wasanii wa bongo muvies

yoelisahe

Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
72
Reaction score
21
hii ni ya s
hilole



hii ya lulu

/SPs2IsiC3PL1RBTPNU6b0yKH7XYgoH4Z8n18ZO1y*fNG*jla*66zv1PooAaPOGQFGyvsU92zHgXkA*sDZS6jRY*2RS0MxB2g/IMG_2910.jpg?width=650[/IMG]

hii ya hot lulu


mjengo wa wema


ya dr cheni

 
Wewe umetumia nokia ya torch kupost hizo picha hebu rudi haraka.:embarassed2::embarassed2::embarassed2:
 
Hiyo mijengo imesombwa na mafuriko?
 
Alikuwa hajasikiliza utabili wa hali ya hewa kabla ya kuaplodi hizo picha
 
Wasanii wa Tz tatizo kweli mtu anapiga picha za geti tu afu anapost kuwa ni nyumba yake
 
weka na hati tuone majina yaliyo andikwa huko kama ni ya kwao.

actually the only guy that I know that "owns" a house in "Dar" ni Mtitu WIlliam... 90% ya hao wengine wamepanga kama sisi makabwela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…