PICHA za msanii ninayemzimia Naija!

PICHA za msanii ninayemzimia Naija!

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
omo8.gif
omo7.gif
omo5.gif
omo4.gif
omo3.gif
omo2.gif
omo1.gif
 
Hata mimi nampenda sana na ni mnigeria pekee ambaye huwa naununua movies zake ila sijaona katoka na movie siku za karibuni
 
wakawaida tu, hata mie nikijitia podari na nywele mbandiko nakuwa bomba zaidi yake
 
Dada yupi Nilham? Wako wawil hapo na bado wote wanaonekana wako bomba mbaya! Hebu nijuze maana wote nawakubali sana! Ila yule Geneviv Nhnaji ndio kawafunika wote.
 
wote my dear wazuri kati ya hao,,, but hata geneive nampa 5... ila kwasababu film yake ya kwanza kuiona naliact sehem ya mtu mbaya... i think ndio mana simfagilii sana... but their up..wallah,,, i like them..
Dada yupi Nilham? Wako wawil hapo na bado wote wanaonekana wako bomba mbaya! Hebu nijuze maana wote nawakubali sana! Ila yule Geneviv Nhnaji ndio kawafunika wote.
 
Hamna kitu mapowda tu hakuna uzuri wowote

si ni kama joti tu akijipodoa
 
Back
Top Bottom