ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Ko hapa na posta ni sawa..hata Kama hatujikubali tusifike huku wazeeAfrica yote inafanana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko hapa na posta ni sawa..hata Kama hatujikubali tusifike huku wazeeAfrica yote inafanana
Mpaka leo upo unabeba box ,umekimbia kukimbizana na ngedere migombani na kuogopa kuuliwa na wanawake.Hao wanaokenua mimeno kwa waarabu ni Accumen Mo adriz na Mufti kuku The Infinity
Kwani nasema rongoo Coach Slamah Hamad ?
Sidhani,hii inaweza kuwa ni pembezoni kama vile hapa Dar maeneo kama Kigogo kwa luhanga!Mkuu mbeya mbobna Geneva? Cheki hapo chini down town Ndjamena mjii mkuu wa Chad.
View attachment 2732453View attachment 2732454
HahahahaMpaka leo upo unabeba box ,umekimbia kukimbizana na ngedere migombani na kuogopa kuuliwa na wanawake.
DuhHao wanaokenua mimeno kwa waarabu ni Accumen Mo adriz na Mufti kuku The Infinity
Kwani nasema rongoo Coach Slamah Hamad ?
Usisahau kumsalimia Stress Challenger 👌🙌😆Hao wanaokenua mimeno kwa waarabu ni Accumen Mo adriz na Mufti kuku The Infinity
Kwani nasema rongoo Coach Slamah Hamad ?
.Mbona n nyie mnakenua mimeno kwa Waarabu.
Tamka bongiiHapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Nasikia jamaa alitaka ku mobilise viongozi waafrika waungane, Afrika iwe moja halafu yeye agombee na kuwa rais wa kwanza wa Africa.Mzuka wanajamvi,
Hizi picha ndio za mwisho Boss wa Wagner kupigwa huko Bangui Central Africa Republic na baadaye siku chache kuuawa.
Cha kushangaza hao wamatumbi pembeni yake wanakenua mimeno tu huku jamaa akiwaibia rasilmali zao Kwa wingi dhahabu, magogo na almasi.
View attachment 2732336View attachment 2732351View attachment 2732352
Nani asiyeiba?Cha kushangaza hao wamatumbi pembeni yake wanakenua mimeno tu huku jamaa akiwaibia rasilmali zao Kwa wingi dhahabu, magogo na almasi.
Aahaaaa,utafikiri Singida MansipaaHapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Mamaee,utafikiri refugees campMkuu mbeya mbobna Geneva? Cheki hapo chini down town Ndjamena mjii mkuu wa Chad.
View attachment 2732453View attachment 2732454
AahaaaaaaMpaka leo upo unabeba box ,umekimbia kukimbizana na ngedere migombani na kuogopa kuuliwa na wanawake.