Picha za mwisho za Yevgeny Prigozhin Bangui CAR

Picha za mwisho za Yevgeny Prigozhin Bangui CAR

Mzuka wanajamvi,

Hizi picha ndio za mwisho Boss wa Wagner kupigwa huko Bangui Central Africa Republic na baadaye siku chache kuuawa.

Cha kushangaza hao wamatumbi pembeni yake wanakenua mimeno tu huku jamaa akiwaibia rasilmali zao Kwa wingi dhahabu, magogo na almasi.
View attachment 2732336View attachment 2732351View attachment 2732352
Zamani tulikuwa tunaletewa dini tena kwa kulazimishwa......siku hizi tunaletewa silaha ili tuuwane wenyewe kwa wenyewe na mali zetu kuibiwa ama kupewa fedha na waarab na kufukuza wamasai Loliondo kupisha hao waarab. Waafrika tunajidharau sana, inahuzunisha kwani hata Mungu anatushangaa.
 
How stupid Africans are.
For the first time umeongea vizuri, vipi maoni yako juu ya wajomba zako waarab kupewa Loliondo na kufukuza wenye nchi huko (wamasai)? Are we still stupid au waungwana kwa sababu Loliondo wamepewa wajomba zako?
 
Kuna uwezekano Africa ndio Bara kubwa kuliko yote duniani....Kuna Pahala Jiografia imedanganya...nakumbuka nilichukua masaa mengi sana....kuivuka CHAD......
 
"Cha kushangaza hao wamatumbi pembeni yake wanakenua mimeno tu huku jamaa akiwaibia rasilmali zao Kwa wingi dhahabu, magogo na almasi."

Africa bara langu...... Wazungu tunawaona wezi na wanyonyaji, Waarabu tunawaona wanyonyaji na wabinafsi.

Na wanaotuaminisha hivyo ni haohao wanaowapokea na kuwakaribisha.
.

Kama wewe unavyokenua meno huku ccm wakikuibia
 
Kuna uwezekano Africa ndio Bara kubwa kuliko yote duniani....Kuna Pahala Jiografia imedanganya...nakumbuka nilichukua masaa mengi sana....kuivuka CHAD......
Ulitumia masaa mangapi mkuu na ulikua unatoka wapi kuelekea wapi natamani sana kwenda hapo Chad Djamena ni Nchi iliyotolewa mfano wa Umasikini miaka nenda miaka rudi....pana jamaa alikua anasema hapo Mbuzi analamba mchanga hapachimbiki wala kuota kitu chochote mchanga ni wa Chuma...akitaka kuiponda Chad...
 
Back
Top Bottom