Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Msaliti hasamehewi nng'ooooPutin ameona mwamba atackua kiti chake ameamua kumtoa kafala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaliti hasamehewi nng'ooooPutin ameona mwamba atackua kiti chake ameamua kumtoa kafala
Duh!!! City centre? Yaani hapa ndio kama kusema uko Posta au Kariakoo?Hapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Nguo za shamba hzo, unadhani Moscow au St Petersburg utamkuta hvoo?Basi mimi nimepata cha tofauti kabisaa kuwa " matajiri huvaa nguo simple sana"
How African stupid are!...
Zamani tulikuwa tunaletewa dini tena kwa kulazimishwa......siku hizi tunaletewa silaha ili tuuwane wenyewe kwa wenyewe na mali zetu kuibiwa ama kupewa fedha na waarab na kufukuza wamasai Loliondo kupisha hao waarab. Waafrika tunajidharau sana, inahuzunisha kwani hata Mungu anatushangaa.Mzuka wanajamvi,
Hizi picha ndio za mwisho Boss wa Wagner kupigwa huko Bangui Central Africa Republic na baadaye siku chache kuuawa.
Cha kushangaza hao wamatumbi pembeni yake wanakenua mimeno tu huku jamaa akiwaibia rasilmali zao Kwa wingi dhahabu, magogo na almasi.
View attachment 2732336View attachment 2732351View attachment 2732352
For the first time umeongea vizuri, vipi maoni yako juu ya wajomba zako waarab kupewa Loliondo na kufukuza wenye nchi huko (wamasai)? Are we still stupid au waungwana kwa sababu Loliondo wamepewa wajomba zako?How stupid Africans are.
Andika kiswahili tu. Unang'ang'ania lugha ambayo huijui..How African stupid are!...
Hahaha,uhindiniKama Kilosa
Zina uislam wa siasa kali mwingi. Cha ajabu DP world na waarabu wengine hawaendi kuwasaidia wenzao.Hizo nchi nyingi za central na west africa ni maskini wa kutupwa.
."Cha kushangaza hao wamatumbi pembeni yake wanakenua mimeno tu huku jamaa akiwaibia rasilmali zao Kwa wingi dhahabu, magogo na almasi."
Africa bara langu...... Wazungu tunawaona wezi na wanyonyaji, Waarabu tunawaona wanyonyaji na wabinafsi.
Na wanaotuaminisha hivyo ni haohao wanaowapokea na kuwakaribisha.
Good morning teacher 😁How stupid Africans are.
Kwa hiyo hapo ni sawa na daslm hata kwa Songea haipo hivyo usitake kutudanfanya hapa...Africa yote inafanana
Hio ni sawa na mbagala kwani mbagala au keko ni sawa na katikati ya mji wa banquiKwa hiyo hapo ni sawa na daslm hata kwa Songea haipo hivyo usitake kutudanfanya hapa...
Ulitumia masaa mangapi mkuu na ulikua unatoka wapi kuelekea wapi natamani sana kwenda hapo Chad Djamena ni Nchi iliyotolewa mfano wa Umasikini miaka nenda miaka rudi....pana jamaa alikua anasema hapo Mbuzi analamba mchanga hapachimbiki wala kuota kitu chochote mchanga ni wa Chuma...akitaka kuiponda Chad...Kuna uwezekano Africa ndio Bara kubwa kuliko yote duniani....Kuna Pahala Jiografia imedanganya...nakumbuka nilichukua masaa mengi sana....kuivuka CHAD......
Hapo pamechoka zaidi mkuu hata kwa kuonekana hao mabati bado wananyoosha pipa huko Tanzania ilishatoka kitambo...Hio ni sawa na mbagala kwani mbagala au keko ni sawa na katikati ya mji wa banqui