makandemoja
Member
- Apr 17, 2016
- 57
- 48
Habari wana Jamvi!
Dada Cristina Mayville Stenbeck mwenye umri wa miaka 39 (Asili yake Sweden) ndio mmiliki halali (Chairman and principal owner) wa kampuni ya Investment AB Kinnevik. Kampuni hio inafanya biashara za Holding ambapo inamiliki makampuni kadhaa makubwa kama Zalando, Millicom, Tele2, Rocket Internet, Global Fashion Group and MTG.
Millicom international cellular SA inayofanya biashara zake hapa nchini kama MIC Tanzania Limited kupitia jina la bidha yake kubwa ijulikanayo kama Tigo ndio mtandao wa pili kwa ukubwa Tanzani wenye wateja zaidi ya milioni 7. Zaidi ya 46% ya wateja wake wanatumia MFS(Metropolitan Fiber Systems).
Kama umesajiliwa na Daresalaam Stock Exchange kama muwekezaji halali kwenye kampuni ya Tigo Mic (T) Ltd, Basi utakumbuka Ngwe ya pili ya mwaka 2014(Q2 2014) soko la hisa lilifikia 29.8% ambapo kwa Ngwe ya pili ya mwaka huu wa 2016 (Q2 2016) mapato yamegonga kwenye $1.57B zilizogawiwa kwa waliowekeza(investors) kulingana na wingi wa hisa zao.
Japo kua kwa sasa Tigo ndio inayomiliki Zantel kwa 85% lakini report kutoka makao makuu sweden report inaasema nchi zote za Africa zilizo na mtandao wao wa tigo zina report nzuri ya ukuaji wa biashara yao(Organic growth) ipokua kwa Tanzania tu wanapata wakati mgumu kibiashara na report sio nzuri.
Makala hii ni ya uchumi na biashara japo inaeza kukaa popote kwa sababu mchambuzi ni mwanauchumi msela.
kama unaswali uliza!
Dada Cristina Mayville Stenbeck mwenye umri wa miaka 39 (Asili yake Sweden) ndio mmiliki halali (Chairman and principal owner) wa kampuni ya Investment AB Kinnevik. Kampuni hio inafanya biashara za Holding ambapo inamiliki makampuni kadhaa makubwa kama Zalando, Millicom, Tele2, Rocket Internet, Global Fashion Group and MTG.
Millicom international cellular SA inayofanya biashara zake hapa nchini kama MIC Tanzania Limited kupitia jina la bidha yake kubwa ijulikanayo kama Tigo ndio mtandao wa pili kwa ukubwa Tanzani wenye wateja zaidi ya milioni 7. Zaidi ya 46% ya wateja wake wanatumia MFS(Metropolitan Fiber Systems).
Kama umesajiliwa na Daresalaam Stock Exchange kama muwekezaji halali kwenye kampuni ya Tigo Mic (T) Ltd, Basi utakumbuka Ngwe ya pili ya mwaka 2014(Q2 2014) soko la hisa lilifikia 29.8% ambapo kwa Ngwe ya pili ya mwaka huu wa 2016 (Q2 2016) mapato yamegonga kwenye $1.57B zilizogawiwa kwa waliowekeza(investors) kulingana na wingi wa hisa zao.
Japo kua kwa sasa Tigo ndio inayomiliki Zantel kwa 85% lakini report kutoka makao makuu sweden report inaasema nchi zote za Africa zilizo na mtandao wao wa tigo zina report nzuri ya ukuaji wa biashara yao(Organic growth) ipokua kwa Tanzania tu wanapata wakati mgumu kibiashara na report sio nzuri.
Makala hii ni ya uchumi na biashara japo inaeza kukaa popote kwa sababu mchambuzi ni mwanauchumi msela.
kama unaswali uliza!