Picha za ngono zinatufanya tusiwatamani wadada wa bongo

Picha za ngono zinatufanya tusiwatamani wadada wa bongo

bab-D

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
1,215
Reaction score
322
Picha za ngono zina wadada wazuri mno, inapelekea hisia kupotea tunapo kua na wadada wa huku kwetu,tufanyeje jamani, maana hawa wetu mikorogo sana ukimuangalia uwiano wa rangi usoni,mikononi(kwenye viungio vya pingili za vidole) na miguuni pia ukavuta taswira ya picha zile usubutu unaisha, dushe hata kubeep hakuna, sasa nina miaka miwili sijawahi na sina hisia kabisa, dawa ni nini?
 
Dawa ni kuacha kutazama hayo Makitu, kula vizuri, fanya mazoezi ya kutosha. kama tayari uko kwenye Ndoa mfanye Mkeo awe ndo Kimkadashian wako. Otherwise utaharibikiwa mambo
 
Mtoa post hujui cha kufanya? kusanya mpunga kwea pipa wafate hukohuko kama ni dubai,brazil,addis ababa,mombasa
 
Cover the face and blow the base son, sometimes a man gotta deal what a man gotta deal. And go easy on that stuff man, they'll fcuk up your mind eventually...oops! my bad, they already did. Seek help.
 
Vaa mask then vuta taswira ya actresses wa pono...
Usipende kuangalia sana pornography..
 
Picha za ngono Zina wadada wazuri mno, inapelekea hisia kupotea tunapo kua na wadada wa huku kwetu,tufanyeje jamani, maana hawa wetu mikorogo sana ukimuangalia uwiano wa rangi usoni,mikononi(kwenye viungio vya pingili za vidole) na miguuni pia ukavuta taswira ya picha zile usubutu unaisha, dushe hata kubeep hakuna, sasa nina miaka miwili sijawahi na sina hisia kabisa, dawa ni nini?


Ulichoandika ndugu ni ukweli mtupu.
Ponography ni mpango wa shetani kuuangamiza ulimwengu na hasa mwanaume. Watazama pono wengi kwa sasa wanatatizo la kupoteza hamu ya tendo.

Shtuka!
 
Ulichoandika ndugu ni ukweli mtupu.
Ponography ni mpango wa shetani kuuangamiza ulimwengu na hasa mwanaume. Watazama pono wengi kwa sasa wanatatizo la kupoteza hamu ya tendo.

Shtuka!

Hapa nisha shtuka, hisia unazotumia kuangalia pono ninyingi kuliko utakazo tumia ktk ..... hivyo zina maliza kabisa hamu, sijui hali hii itaisha lini.
 
Mkuu pono hazina jipya achana nazo style ni zile zile amna mpya. Zina athari kubwa sana katka ubongo wako. Ukizipotezea baada ya mda hamu kwa wadada zetu wakibongo itarudi tena maradufu
 
Kudadeki, hizi toto za bongo mbona ziko vizuri tu??
 
Mkuu kuna dalili ukawa team nyento kwani ni ngumu ukae miaka 2 bila ya kupiga mzigo,
kama wewe ni mwanaume wa shoka uliye kamilika.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom