Picha za ngono zinatufanya tusiwatamani wadada wa bongo

Picha za ngono zinatufanya tusiwatamani wadada wa bongo

Mkuu kuna dalili ukawa team nyento kwani ni ngumu ukae miaka 2 bila ya kupiga mzigo,
kama wewe ni mwanaume wa shoka uliye kamilika.

Nxeto tena, hapana-🙂
 
Last edited by a moderator:
Picha za ngono zina wadada wazuri mno, inapelekea hisia kupotea tunapo kua na wadada wa huku kwetu,tufanyeje jamani, maana hawa wetu mikorogo sana ukimuangalia uwiano wa rangi usoni,mikononi(kwenye viungio vya pingili za vidole) na miguuni pia ukavuta taswira ya picha zile usubutu unaisha, dushe hata kubeep hakuna, sasa nina miaka miwili sijawahi na sina hisia kabisa, dawa ni nini?

Acha Majungu, ziko wapi?
 
Siangalii kabisa hizo picha! Niliwahi kucheki picha kadhaa lakini nikaona kama napata addiction nakazivunjavunja CD zote!
Tangia hapo sitaki kabisa!
Kabla ya hapo tulizipa majina mara blue, pilau, kula mhogo n.k!
Nashukuru zisipendi tena!
 
Mi ndio maana naupendo na mawhite tu
 
Ni ulevi mbaya sana huo kuliko hata sigara au pombe na usipocheki inaharibu saikolojia yako yote ya tendo la ndoa na ndiyo "a road to destruct your relationship with your partner being a wife or a girlfriend"

We should not forget kwamba.......THAT IS A DEVIL'S INVENTION to corrupt our mind. Inashuriwa kusoma vitabu zaidi vinavyohusiana na mahusiano na si kuangalia picha mnato za watu wengine wakishiriki tendo la ndoa mara kwa mara.

Ikilazimika kuangalia moving picture za ngono, basi ziwe zile zilizoandaliwa kwa lengo la kufundishia na iwe kwa wakati huo wa mafunzo tu.

Lakini ukifanya kama chakula chako asubuhi, mchana na jioni, ujue umeharibikiwa.

Kuna bwana mmoja tunafanya nae kazi ofisi moja, ni boss wangu ofcoz. Ni mzee wa makamo umri kati ya 50 na 55, mtanashati na mpiga pamba mzuri. Ila hii kitu imemuathiri sana na tumeligundua hili si kitambo sana na ujio wa teknolojia ya hizi smartphone ni tatizo kwa wengine kwa sababu watu badala wazitawale simu, kinyume chake teknolojia ya simu hizi inatufanya watumwa!!

Huyu mzee before alikuwa yuko very active ktk kutenda kazi. Ukipelekea kazi km ya kupitia ripoti flani ili akupe majibu, ndani ya muda mfupi utapata majibu, kusaini barua vivyo hivyo.

Lakini kuna wakati mambo yalibadilika, si kwa sbb labda akawa mkali au nini, la hasha. Isipokuwa, ukipeleka jambo flani alishughulikie, itakuchukua muda kupata feedback

Ilibidi tuanze kujiuliza kulikoni. Na baada ya upelelezi wetu, tukagundua kuwa mzee muda mwingi anatumia kutazama picha za ngono kwenye kompyuta mpakato yake ofisini na pia kupitia smartphone yake to the extent kwamba zimesha corrupt kabisa bongo yake na hivyo kuathiri utendaji kazi wake. Hatujui maisha yake ya kingono na mkewe huko nyumbani kwake, inawezekana labda zinamsaidia kuwa effective na kufanya vizuri kwa mkewe. Who knows?

Lakini nifahamuvyo mimi, mwanamke mwenye hekima hawezi kumruhusu mumewe kuwa addict wa picha za ngono kwa sbb zina athari ya moja kwa moja ktk mahusiano!.

Na hapa ndiyo maana mleta mada anadhani kuwa hakuna wanawake wazuri kama anaowaona na hili haliishii hapo tu, litakwenda hadi kwa yule uliye naye nyumbani kwa kumuona hafanani kabisa na unaowaona kwenye mikanda ya ngono ili hali wengine tayari ni maiti walishakufa siku nyingi ila basi tu kwa sbb huo ni mpango mahususi wa shetani kuteka akili zetu na kutuvuruga, ndiyo maana zipo na zimehifadhiwa kwa lengo hilo!

Tuthibiti matananio na tamaa zetu, tutakuwa salama!....

K
 
Picha za ngono zina wadada wazuri mno, inapelekea hisia kupotea tunapo kua na wadada wa huku kwetu,tufanyeje jamani, maana hawa wetu mikorogo sana ukimuangalia uwiano wa rangi usoni,mikononi(kwenye viungio vya pingili za vidole) na miguuni pia ukavuta taswira ya picha zile usubutu unaisha, dushe hata kubeep hakuna, sasa nina miaka miwili sijawahi na sina hisia kabisa, dawa ni nini?
Chai
 
Back
Top Bottom