NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Duh ama kweli ushabiki ukizidi nako ni ulevi. Yaani mtu anaona atapata raha wakati haambulii hata jero kwenye huo mkataba. Raha wasipate wanaonufaika na mkataba uje upate wewe mshabiki unayesubiria tu timu ipate matokeo mazuri ndio faraja yako. Na tena na kiingilio cha mechi unatozwa ili uone mechi.Daaah!! Simba na Barbara punguzeni kutupa raha....
Aisee
Wanatupa raha mpaka wanaboa[emoji16][emoji23]Daaah!! Simba na Barbara punguzeni kutupa raha....
Aisee
Wanatupa raha mpaka wanaboa[emoji16][emoji23]
Shabiki wa utoMabus yenyewe mabayaaa😬
We kweli mbumbumbu nikajua ungesema iwekwe mikakati kama timu kununua ndege kumbe unalia kwa mo tena hahahahHongereni.
Mwakani Mo anunue Ndege ili kudhihirisha ukubwa wa Simba.
Hadi sasa hii timu imeshajitenga kimafanikio na vijitimu vingine vinavyopenda mijisifa ya Mdomoni tu.
ni kweli kabisa duniani ni Utopwinyo na Real madrid tu ndiyo wanamilikiKumbe kuna timu bado inapanda mibasi ya kichina na mitata mpaka leo
Hongera sana Yanga maana mna Marcopolo IRIZAR bus kaali
iyo pisi mbona ni kali sanaaAisee naona ni double diff(sijui nimeandika sahihi?) naona pia ndani kuna screens kwa mbele muonekano mzuri kwa kweli tena sana tu
Moja litakuwa kwa senior team,jingine kwa simba queens,jingine kwa u-20
Hongera sana Barbra na mkataba wa milioni 800 juu
Jezi (nembo ya mdhamini africarriers) zitavaliwa kifuani na u-20, mabegani na simba queens
View attachment 1950927View attachment 1950928View attachment 1950929
Nimeipenda hii YUTONGAisee naona ni double diff(sijui nimeandika sahihi?) naona pia ndani kuna screens kwa mbele muonekano mzuri kwa kweli tena sana tu
Moja litakuwa kwa senior team,jingine kwa simba queens,jingine kwa u-20
Hongera sana Barbra na mkataba wa milioni 800 juu
Jezi (nembo ya mdhamini africarriers) zitavaliwa kifuani na u-20, mabegani na simba queens
View attachment 1950927View attachment 1950928View attachment 1950929
Simba tunasema RelaaaxAisee naona ni double diff(sijui nimeandika sahihi?) naona pia ndani kuna screens kwa mbele muonekano mzuri kwa kweli tena sana tu
Moja litakuwa kwa senior team,jingine kwa simba queens,jingine kwa u-20
Hongera sana Barbra na mkataba wa milioni 800 juu
Jezi (nembo ya mdhamini africarriers) zitavaliwa kifuani na u-20, mabegani na simba queens
View attachment 1950927View attachment 1950928View attachment 1950929
Mi mshabiki wa Yanga,kwa kweli kuna vitu lazima tukubali Simba mmetuzidi...Aisee naona ni double diff(sijui nimeandika sahihi?) naona pia ndani kuna screens kwa mbele muonekano mzuri kwa kweli tena sana tu
Moja litakuwa kwa senior team,jingine kwa simba queens,jingine kwa u-20
Hongera sana Barbra na mkataba wa milioni 800 juu
Jezi (nembo ya mdhamini africarriers) zitavaliwa kifuani na u-20, mabegani na simba queens
View attachment 1950927View attachment 1950928View attachment 1950929
This is SIMBAAisee naona ni double diff(sijui nimeandika sahihi?) naona pia ndani kuna screens kwa mbele muonekano mzuri kwa kweli tena sana tu
Moja litakuwa kwa senior team,jingine kwa simba queens,jingine kwa u-20
Hongera sana Barbra na mkataba wa milioni 800 juu
Jezi (nembo ya mdhamini africarriers) zitavaliwa kifuani na u-20, mabegani na simba queens
View attachment 1950927View attachment 1950928View attachment 1950929