Picha za Satelite zaonesha harakati za kijeshi nchini Urusi

Picha za Satelite zaonesha harakati za kijeshi nchini Urusi

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1645174580467.png

Picha za hivi karibuni zilizotolewa na kampuni ya ujasusi ya teknolojia ya anga ya Marekani Maxar zinaonyesha kwamba shuguli za kijeshi za jeshi la urusi zimeendelea kuwepo karibu na mipaka yake na Ukraine, licha ya madai ya hivi karibuni ya Urusi ya kuondoa vikosi vyake kwenye mipaka hiyo.

Picha hizo ambazo zilichukuliwa kati kati ya mwezi wa Februali, zinaonyesha kuwa Ukraine bado imeendelea kuzingirwa katika maeneo matatu- kwenye mipaka yake na Urusi na Belarus - na zana za kijeshi za Urusi pamoja na vikosi viko kwenye mipaka hiyo kwa wingi.
 
Russia aachane na mnyonge Ukraine yeye kama kweli ana ubavu avamie tu jirani yake yeyote ambaye tayari ni mwanachama wa Nato kama Poland, Slovakia, Hungary au Romania ndio tuone ubabe wake.

Halafu hata huyo Ukraine mbona hawajamvamia wanaishia tu kuzurura kwenye mpaka tu na baridi yote huko. Urusi ya kweli ilikuwa ile ya akina Stalin, Brezhnev na Andropov lkn sio hii ya akina Putin ambayo ni Paper Tiger 🐯🐅
 
Russia aachane na mnyonge Ukraine yeye kama kweli ana ubavu avamie tu jirani yake yeyote ambaye tayari ni mwanachama wa Nato kama Poland, Slovakia, Hungary au Romania ndio tuone ubabe wake.

Halafu hata huyo Ukraine mbona hawajamvamia wanaishia tu kuzurura kwenye mpaka tu na baridi yote huko.
Ss mbona we ndo povu la kishabiki linakutoka
 
Russia aachane na mnyonge Ukraine yeye kama kweli ana ubavu avamie tu jirani yake yeyote ambaye tayari ni mwanachama wa Nato kama Poland, Slovakia, Hungary au Romania ndio tuone ubabe wake.

Halafu hata huyo Ukraine mbona hawajamvamia wanaishia tu kuzurura kwenye mpaka tu na baridi yote huko. Urusi ya kweli ilikuwa ile ya akina Stalin, Brezhnev na Andropov lkn sio hii ya akina Putin ambayo ni Paper Tiger [emoji197][emoji234]
Kwa kujaribu tu,nenda kamvamie yule jirani yako anaetiririsha maji taka kwenye eneo lako.
 
Russia aachane na mnyonge Ukraine yeye kama kweli ana ubavu avamie tu jirani yake yeyote ambaye tayari ni mwanachama wa Nato kama Poland, Slovakia, Hungary au Romania ndio tuone ubabe wake.

Halafu hata huyo Ukraine mbona hawajamvamia wanaishia tu kuzurura kwenye mpaka tu na baridi yote huko. Urusi ya kweli ilikuwa ile ya akina Stalin, Brezhnev na Andropov lkn sio hii ya akina Putin ambayo ni Paper Tiger 🐯🐅
Elewa tu kuwa hakuna nchi inayopenda vita. Ukiona nchi imeamua kuingia vitani basi ni kwasababu njia zote zimeshindikana. Huanza na diplomasia, ikishindikana inakuja MIKWALA, ikishindikana inakuja MIKWALA MIZITO ZAIDI KAMA HII YA KUFANYA MAZOEZI NA KUSOGEZA MAJESHI, IKISHINDIKANA BASI NDIPO INASEMA HAKUNA NAMNA NATUMIA NGUVU " DO or DIE"
 
Back
Top Bottom