Picha za Shilole akiwa "CHOBINGO" na Mwimbaji wa Koffi Olomide

Picha za Shilole akiwa "CHOBINGO" na Mwimbaji wa Koffi Olomide

[h=3][/h]




















Shilole akiwa na msanii wa Koffi.
Tukio hilo lilitokea ndani ya Viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar, ambapo Shilole alienda kwa ajili ya kushuhudia shoo ya mwanamuziki huyo.
Akiwa ndani ya viwanja hivyo, Shilole alijikuta akishobokewa na mmoja wa wanamuziki wa Koffi ambaye jina lake halikupatikana mara moja ambapo kuna muda wawili hao walikutwa nyuma ya jukwaa jamaa akiimbisha.
SHILOLENAMWANAMUZIKIWAKOFFI3.jpg

Haikuweza kufahamika mara moja kama Shilole alimkubalia mshikaji huyo lakini wadakuzi wanadai baada ya shoo kumalizika, mwanamuziki huyo alimfuta tena Shilole na kuongozana naye hadi kwenye gari alilokwenda nalo pale ukumbini.
SHILOLENAMWANAMUZIKIWAKOFFI4.jpg
Msela hapo kichwa cha chini kimeshavurugika na mtoto bado analeta pozi
 
Ila maisha yanabadilika sana,kumbe kuna kipindi hili gumegume nungayembe lilikuwa linakula kabisa vidole wakati linaimbishwa?
Screenshot_2024-06-26-18-51-45-250_com.mi.globalbrowser.jpg


Hatari sana!
 
Back
Top Bottom