johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Mama Ndio aliipenda hiyo sura Ili wewe umiminike vinenani mwa Shujaa ๐๐๐Siwezi kuwa na sura ya hovyo hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Ndio aliipenda hiyo sura Ili wewe umiminike vinenani mwa Shujaa ๐๐๐Siwezi kuwa na sura ya hovyo hivyo
Maza angu hajawahi kuugua kichaaMama Ndio aliipenda hiyo sura Ili wewe umiminike vinenani mwa Shujaa ๐๐๐
Ila alimiminiwa na kichaa ๐Maza angu hajawahi kuugua kichaa
Naona ugonjwa wako umerudi kwa kasi snIla alimiminiwa na kichaa ๐
Yakusikia changanya na akili zako, you're better than this bruv. Mimi naongelea yakujionea kwa macho, we unaongelea ya kusikia... matter of fact, tunaongelea mauaji as in general, sasa hizo sijui za kuua muisrael... we unadhani masnitch wa kiizrael wanaachwa kisa uisrael wao.Umewahi kusikia ameua Mwisrael?
Tulia sisterYakusikia changanya na akili zako, you're better than this bruv. Mimi naongelea yakujionea kwa macho, we unaongelea ya kusikia... matter of fact, tunaongelea mauaji as in general, sasa hizo sijui za kuua muisrael... we unadhani masnitch wa kiizrael wanaachwa kisa uisrael wao.
nenda kawaambieHawamjui vizuri kama alikuwa katili na muuaji
Huyu mzee sijui hata mko na hasira gani nae wakati wizi mlikua mnaiba wenyewngoja afe fisadi Kiwete tuone mafisadi nao wakigombea picha ya mtu wao
waulize wanaojua watakwambiaHuyu mzee sijui hata mko na hasira gani nae wakati wizi mlikua mnaiba wenyew
Mueleze mshamba huyo!Ww ni lofa na muongo! Mbona utekaji na mauaji havijakoma? Ali kibao kauwawa na magufuli?