Picha za umbo kali la Wema Sepetu zinavyochanganya akili za watu Instagram

Globs and globs of fat not a single muscle in her body. When she dies her corpse will blow up like a fat bomb within hours.
 
Haaaa haaaa we chibokooo
 
napenda awe mrefu mwembamba asiwe na hips, tumbo au tako kubwa yani awe dizaini kama nancy sumari. kama uko hivyo njoo pm tubadilishane mawazo odoemma1
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Duuh nishakosa sifa hasa kwenye hips na tako..
Pole yangu..
 
We mjamaa umenichekesha!
 
Ila hips za siku hizi kiunoni mpaka magotini jamani enyi wachina Mjue Mungu anawaona kuna kiama sijui mtajibu nini
Hahahaaaa!! Hilo hipsi ni refu sana aiseeh!!
 
kashatumika sana....wema niliyempenda ni yule wa 2012-2014 sio huyu wa 2017 aliyechakaa ngozi na aliyejiunga na upinzani.
 
Hapo ndo utajua kuwa akili zetu tunazijua wenyewe!
 
Uzuri anao
Shepu anayo
Urefu anao
Tabasamu ndo kabisaaa
Sauti ya chumbani ndo usiseme
Nundu lipo
Kudeka anajua

Najiulizaga kwann hapati mume wa ndoa ????!!! .....familia ni kitu cha furaha sana mkiwa na watoto wenu ......
Mtu wa kuja kuoa huyo,lazima uwezo wa akili uwe 0.0%
 
Huyu mtoto ni Mrembo shepu Sepenga.... Still mrembo tu. Aaah Wema ajawahi muacha mtu salama.
Na sauti ya kumtoa nyoka pangoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…